Usultani: Mifano Mizuri ni Rashid Mwema na January Makamba

Kwa kumchukulia Makamba Jr kama mfano, haijalishi hayo yoote aliyopitia… Sababu tumeona watu ambao walikuwa considered kama vilaza when growing up ila wakaja kufanya maajabu na kufanya mabadiliko ya kihistioria (E.g Benjamini Franklin, Eva Peron ).
AshaDii umetoa maelezo marefu na ya kina lakini nataka unisaidie kukuelewa vizuri hapa. Ningependa unisaidie kufahamu kama hao watu uliowataja walifikia mafanikio yao kwa kubebwa na wazazi wao kwa njia ya upendeleo kama alivyofanyiwa the briliant Makamba!!

Ni ukweli kwamba kuna baadhi ya watu wanaonekana vilza darasani lakini huja kufanya mambo makubwa duniani kama alivyo Bill Gates na wengineo. Lakini ukimuangalia huyu Bill Gates hutaona mahali ambapo alibebwa hadi kufika hapo alipo isipokuwa alifanya kazi kwa bidii sana hadi akafikia mafanikio yake, na hapo ndipo kuna tofauti ya wenzetu "weupe" na sisi wamatumbi.
 
Last edited by a moderator:
Hv Care international ninanyo ifahamu mimi wakaajiri form vi leaver tena aliyefeli, Kilitokea nini? au ndo kujuana hko?.........

Dah cjui nimshauri mdogo wangu mwenye degr ya accounts akaombe kazi hko, coz yupo kitaa na degr yake, wakati huyu jamaa.........Dah lakin hatuna 'MKUBWA' tunayefahamiana naye...


Ndio nakuambia form four kama umefaulu utapata shule USA sababu wao HIGH SCHOOL yao ni kama form four; kuna ndugu zangu walioenda kwa Medicine

USA waliondoka baada ya form four sababu US medicine ni miaka 8; 4 regular degree 4; Medicine... kama una c4 na b1 unapata College US as form four leaver
 
Usitake kudanganya watu. Mzee Edwin Mtei ndio Chadema mpaka anakufa. He is the King Maker. Uliza kwa nini Chacha Wangwe hakupata uenyekiti wa chama? au kwa nini Zitto Kabwe hakupata Uenyekiti wa chama?

Kaamua kumuweka Mkwe wake aongoze chama, maana anajua Mbowe kwa Baba Mkwe hawezi kufurukuta. Freeman Mbowe ameoa mtoto wa Mtei. Yeye ndio anaamua nini kifanyike, na Mbowe anarekebisha. Hakuna demokrasia Chadema. Hicho ndio chama cha kisultani.

Sasa hebu uliza, mdogo wake Tundu Lissu ni mbunge wa Chadema. Wake wote wawili wa Slaa ni wabunge viti maalum. Huyu Slaa mwenyewe wanatumia kipaji chake cha Upadri kuwahubiria nyie mamluki, ikifika 2015 wanamtosa. Na yeye, Slaa kwa sababu anapenda sifa na kujiona kama nabii anaenjoy tu.

Ukweli ni kwamba mashabiki wa Chadema mko brainwashed. Mmepumbazwa kabisa. Kama wafuasi wa kibwetere. Huo ni ukweli ambao hampendi kuusikia. Ukitajiwa meremeta, EPA, na Rostam Aziz baasi hauulizi kitu. Hamuhoji kitu. Ogopa sana Chama ambacho hakina dialogue, watu wanaitikia tu. Kana kwamba sio chama cha siasa bali ni dini. Maana mapadri wakatoliki ndio wanalawiti watoto na waumini hawaulizi kitu. Chadema mko hivyo hivyo, nyie mnajibu mmekaririshwa "peoples power" kama kasuku. Wabunge wenu hawafanyi kitu, wanatoa miongozo tu bungeni isiyo na mbele wala nyuma, halafu mnawapongeza. Ukiuliza jimboni kuna nini? hawajui.

Kitu ambacho hamkijui. Tundu Lissu ni mental case, ana file Mirembe. Muulizeni. Alishakuwa declared insane. Huo ni ukweli. Nyie mnamuita jembe.

pamoja na pumba zote ulizomwaga hapa naomba tu nikwambie kwamba inatosha sasa kutawaliwa na ccm, mimi nataka mabadiliko hata kama yatakuwa mabaya, acheni na wengine wajaribu au wafanye kweli, unasema wafuasi wa cdm ni brain washed, utafiti wako umefanya wapi? angalia hata ndani ya jukwaa hili wangapi wana support magamba na wangapi magwanda, pia unataka kutuaminisha kuwa wewe una akili kuliko wote wanaoikibali cdm?

mbona huzungumzii majimbo yote yaliyokuwa ngome za ccm na hatimaye kuchukuliwa na cdm? hujaona cha kujifunza hapo? kwa kifupi ccm walijisahau wakadhani nchi hii wamemilikishwa wao peke yao. unapiga kelele hapa lakini hali halisi unaiona; tatizo ni kwamba kïchwa chako unakitumia kwa kazi moja tu...utake usitake ccm iko hali mbaya kwa sasa na hilo unalitambua ndo maana uko hapa kubwabwaja baada ya kuona upepo unageuka... think.. ohh sorry just shut up.

NB:
Selemani umehesabiwa? kama ulikataa unamwangusha jk. make up ur mind.
 
Unajua hapa tuache unafiki. Ni nani kati yenu mnaojidai hapa kuwa ni wasafi sana ambaye angekuwa katika ngazi ya uongozi wa juu asingetamani kuona watoto wake wakisoma vizuri na kuwa na nafasi nzuri katika serikali, makampuni, mashirika ya umma, taasisi n.k? Tuache kujifanya tunaionea huruma sana nchi huku mioyoni sivyo tulivyo. Tunayo mifano ya viongozi ambao tulikuwa tunawaamini sana kabla ya kupata nafasi za kuwawakilisha wananchi (sipendi kutaja watu majina sio uungwana) lakini baada ya kupata nafasi si tumesikia habari zao za kula rushwa na kadhalika!!!! Tuwe wakweli tu tuache unafiki. Tukemee jambo la kweli ambalo hata ukilisema watu wote watasema ndio, sio kwa Makamba. Na viongozi kusomesha watoto sio dhambi, mimi nafikiri ukiwa kiongozi ukashindwa kuwasomesha watoto wako vizuri ndio dhambi. Na unategemea nini watoto waishasoma vizuri? Lazima wapate nafasi nzuri. Mimi nitaungana na yeyote ambaye ataonyesha mtoto wa kigogo ambaye elimu yake ni ndogo lakini amepewa madaraka yasiyolingana na elimu au ujuzi alio nao.
 
Ukitaka kujua mfumo wa CCM sasa ni kila mahali ngoja zitangazwe kazi za mashirika yenye package nzuri utajuta, ni majina na vimemo vya Anna Mkapa, Mwingilu, JK and the like. Huu mfumo umeanza kwenye uongozi wa CCM na ndiom maana Husein Mwinyi atafuata baada ya Shein.

mwinyi gani? huyu ambaye ameshindwa kujiwajibisha hata baada ya mabomu yake kuuwa raia. ameshindwa kufuata nyayo za baba yake atafuata za nani?
 
mwinyi gani? huyu ambaye ameshindwa kujiwajibisha hata baada ya mabomu yake kuuwa raia. ameshindwa kufuata nyayo za baba yake atafuata za nani?


Tanzania kujiuzulu ni sign ya udhaifu na si uwajibikaji bro, yule waziri wa Zanzibar ni jasiri na mfano wa kuigwa. Ila nadhani walimshangaa kuchukua uamuzi huo.
 
AshaDii umetoa maelezo marefu na ya kina lakini nataka unisaidie kukuelewa vizuri hapa. Ningependa unisaidie kufahamu kama hao watu uliowataja walifikia mafanikio yao kwa kubebwa na wazazi wao kwa njia ya upendeleo kama alivyofanyiwa the briliant Makamba!!

Ni ukweli kwamba kuna baadhi ya watu wanaonekana vilza darasani lakini huja kufanya mambo makubwa duniani kama alivyo Bill Gates na wengineo. Lakini ukimuangalia huyu Bill Gates hutaona mahali ambapo alibebwa hadi kufika hapo alipo isipokuwa alifanya kazi kwa bidii sana hadi akafikia mafanikio yake, na hapo ndipo kuna tofauti ya wenzetu "weupe" na sisi wamatumbi.
hapa ndipo Watanzania wengi tunapotea, hatuna role models ambao wanamatch na maisha yetu.
Kumfananisha mtu aliyeiba pesa za umma then 'kumake fortune' na watu successful kama Bill Gates au Neil Armstrong ni makosa makubwa, hii ni sawa na kufananisha mbingu na ardhi. Na hii imetufanya kuendelee kudumaa kimawazo na si ajabu pamoja na volume kubwa ya uchumi biashara nyingi zinaendelea kumilikiwa na 'anonymous'
 
Unajua hapa tuache unafiki. Ni nani kati yenu mnaojidai hapa kuwa ni wasafi sana ambaye angekuwa katika ngazi ya uongozi wa juu asingetamani kuona watoto wake wakisoma vizuri na kuwa na nafasi nzuri katika serikali, makampuni, mashirika ya umma, taasisi n.k? Tuache kujifanya tunaionea huruma sana nchi huku mioyoni sivyo tulivyo. Tunayo mifano ya viongozi ambao tulikuwa tunawaamini sana kabla ya kupata nafasi za kuwawakilisha wananchi (sipendi kutaja watu majina sio uungwana) lakini baada ya kupata nafasi si tumesikia habari zao za kula rushwa na kadhalika!!!! Tuwe wakweli tu tuache unafiki. Tukemee jambo la kweli ambalo hata ukilisema watu wote watasema ndio, sio kwa Makamba. Na viongozi kusomesha watoto sio dhambi, mimi nafikiri ukiwa kiongozi ukashindwa kuwasomesha watoto wako vizuri ndio dhambi. Na unategemea nini watoto waishasoma vizuri? Lazima wapate nafasi nzuri. Mimi nitaungana na yeyote ambaye ataonyesha mtoto wa kigogo ambaye elimu yake ni ndogo lakini amepewa madaraka yasiyolingana na elimu au ujuzi alio nao.


Unaweza kua na baba au mama serikalini na kusoma vyema, hapa tunakemea nafasi za upendeleo wanazozipata na kujisahau kutumikia umma na kuiendesha nchi kama shamba la ukoo wao.
Mfano: Kuna kiongozi alimteua mshenga kua mkuu wa mkoa na akaharibu na kuua tena kwa jeuri sheria ikapindishwa, Mwingine alikua rafiki akawa mkuu wa mkoa Mwanza wakati huo ni Mbunge, kote kaharibu na wananchi kumtosa ubunge. Kuona hivyo ameteuliwa kua balozi ITALY.

Husein Mwinyi: Alikua waziri na kuvurunda ila hakuthubutu kuchukua hatua kujiuzulu na nadhani hakuna aliefumbua mdomo kumwambia makosa yake. Kuhusu January Makamba nuinahofia mdomo wa baba yake na ushawishi wake CCM utamvimbisha kichwa coz kwa akili ya Makamba anaota mwanae kuchukua nchi na alisharopoka kitambo. Hofu yangu ni nani atamnyooshea mwenzake kidole pindi atakapoharibu?

IGP ni shemeji wa aliemuweka hapo, leo hii polisi wanajifunza kulenga shabaha kwenye miili ya watembea kwa miguu na wauza magazeti. Nani atainua mdomo juu ya uozo huu zaidi ya kuubariki? au kusubiri na ndio wanaoteuana kila kukicha hadi kufikia kumteua binti ambae hata cheti cha UDSM hakijatoka kua Mkuu wa wilaya kisa wanafahamiana zaidi?

Hii iko Tanzania pekee!



 
A Level alitaka kusomea CBG na kwenda University kusomea Mambo ya KILIMO; Sasa alipofanya kazi CAREINTERNATIONAL ilimbadilisha Mawazo na kusomea

hiyo Conflicts Resolutions

And now working based on which knowledge........profession brother?????.....mambo ya nje ilikuwa ni sawa sana kwake. Though hili tatizo ni kubwa kwa nchi yetu ila sasa kwa haya yanayosemwa juu yake ndo kama anakuwa highlighted sana
so kama tuanataka kuwa objective the scope of scrutiny should be wider
 
And now working based on which knowledge........profession brother?????.....mambo ya nje ilikuwa ni sawa sana kwake. Though hili tatizo ni kubwa kwa nchi yetu ila sasa kwa haya yanayosemwa juu yake ndo kama anakuwa highlighted sana
so kama tuanataka kuwa objective the scope of scrutiny should be wider

Una Maana Gani? Malecela alisha kuwa Waziri wa Ujenzi, Nje, Uchukuzi, Mawasiliano.... ana UJUZI GANI... Uwaziri ni Managerial JOB; Mfanya kazi

Wizarani ni KATIBU MKUU; ndio huyo anayetakiwa kuwa Professional... Uwaziri ni Tittle HEAD
 
niambie ni nani? Membe kaenda Masters ya Confict Resolutions after January... Tafadhali UKINIPINGA njoo na Ushahidi kwa MAJINA na sio kashfa

and putting each other down as usual as we locals do to others

Acha kuongea vitu usivyo vijua mkuu, Conflict R. watu wamekua wakiisoma katika masters programme za International Relation na unafanya major katika hiyo kitu, Nisiku hizi za karibuni ndo imekua inasimama kama special separate masters programme. Sasa ukisema yeye ndo wa kwanza haupo sahii na unanitia mashaka ufahamu wako wa hizi kozi. Wewe Tambua kua kuna watu wamesoma hivyo vitu na hawakurudi huko Bongo sasa hivi wanafanya kazi katika mashirika ya kimataifa. Haina haja ya kukutajia na kuweka vitu hazarani mkuu. Ila yeye sio wa kwanza na ukitaja membe what so ever...unachoonyesha hapo nikua unaangalia watu ambao wapo kwenye siasa na hutambui kua TZ ni kubwa na Wa-TZ tupo wengi.
 
una maana gani? Malecela alisha kuwa waziri wa ujenzi, nje, uchukuzi, mawasiliano.... Ana ujuzi gani... Uwaziri ni managerial job; mfanya kazi

wizarani ni katibu mkuu; ndio huyo anayetakiwa kuwa professional... Uwaziri ni tittle head

na wasiwasi wewe mwenyewe unaweza kua ndo december maana nimeangalia comment zako kwa umakini sana....duh pole ndugu yangu.....ila usihofu kwani hata kama haukufauru form four na six sio mbaya washkaji zako wengi watakua wamekusahau...cha msingi kwa sasa taratibu jitahidi kurisit iliuzibe hilo pengo kwani utakuja kututia aibu huko mbeleni watu watakapo hitaji ukweli halisi wa kimasomo toka kwako....
 
na wasiwasi wewe mwenyewe unaweza kua ndo december maana nimeangalia comment zako kwa umakini sana....duh pole ndugu yangu.....ila usihofu kwani hata kama haukufauru form four na six sio mbaya washkaji zako wengi watakua wamekusahau...cha msingi kwa sasa taratibu jitahidi kurisit iliuzibe hilo pengo kwani utakuja kututia aibu huko mbeleni watu watakapo hitaji ukweli halisi wa kimasomo toka kwako....

DECEMBER ndio nini? January sio Mshikaji wangu I'm REAL and I SPEAK the truth siongelei Unafiki na kusubiri asante...

Sitegemei Msaada wa Mtu yoyote... Mimi SIO CCM wala CHADEMA Mimi ni Mtanzania HURU I can speak Freely; Elimu yangu nimepata kwa Jasho langu

Serikali ya Tanzania haikutoa senti 1 kunisomesha Mimi... and I'm proud of ME....
 
Tunajua unapotosha makusudi. Mzee Mtei hana cheo chochote katika chama mbali ya kuwa mwanzishi. Freeman aliupata uongozi kwenye chama kwa merits zake mwenyewe. Hii ni tofauti na hulka zenu CCM.

Kukanusha usulutani nadni ya chadema lazima uwe kichaa!
 
Una Maana Gani? Malecela alisha kuwa Waziri wa Ujenzi, Nje, Uchukuzi, Mawasiliano.... ana UJUZI GANI... Uwaziri ni Managerial JOB; Mfanya kazi

Wizarani ni KATIBU MKUU; ndio huyo anayetakiwa kuwa Professional... Uwaziri ni Tittle HEAD

Ndo maana kaka scope inatakiwa kuwa kubwa as I said ili kupata majawabu ya kimfumo sio ya jina moja moja ......so yeye ni just a case study in here....tatizo lipo.......kutumia kodi kwa TITLE heads si maneno ya msahafu mkuu yaweza kuwa hizo Title heads zikawa based on profession......dont tell me huoni kama hili ni tatizo at its large


You said he was the first kuwa na hiyo masters.....wapi tija kwa huko anakofanyia kazi.....kama kuna dawati la conflict resolution hapo foreign ndo ingekuwa tight marking......
 
niambie ni nani? Membe kaenda Masters ya Confict Resolutions after January... Tafadhali UKINIPINGA njoo na Ushahidi kwa MAJINA na sio kashfa

and putting each other down as usual as we locals do to others
Hapana. Membe alikuwa Johns Hopkins University 1989-1991. Tuambie January alifanya conflict resolution mwaka gani.
 
Kwa taarifa tu hawa wanaosemwa wa CDM jua hata kama wanahusiana but ni wale wenye vichwa vikali tu. Angalieni michango yao kiakili na si mtu kama January Makamba ambaye kwanza form six aliyorudia alipata division 4. Huko kwa magamba ni mafisadi wanapeana vyeo ili kulindana na madudu yao tu. No wonder ndiyo maana speech za muheshimiwa zilikuwa za utata maana January kumbe uwezo kichwani ni utata!!!!
 
nngu007

Waliosoma na January Galanos wanasema kwamba alifutiwa mtihani. Alikuja kureseat kama private candidate. Form 6 akafeli alipata DIV-4 Akashindwa kwenda chuo kikuu. Ni ufisadi ndio uliomsaidia hadi kupata scholarship

1. Jiulize, mtu aliyefeli anawezaje kupata scholarship kama siyo ufisadi. Wale wanaopata DIV 1 wanakosaje skolaship kama siyo ufisadi. January ni fisadi. Tuelezwe aliwavukaje hao wengine hadi kapewa scholarship?
2. Mwenyewe unadiriki kutamka kwamba hakufanya vizuri, Iweje apate hivyo vyeo vyeto kama siyo kubebwa?
3. Wale waliofaulu mbele yake wako wapi? Si walivukwa kwa sababu ni mtoto wa makamba
4. Kuanzia leo ahachane na mambo ya kujigamba kwamba ana akili. Mwenye akili awe yeye?

Wenye akili wapo. Wamejaa nje ya nchi kwa sababu hawana ndugu ndani ya system kuwabeba. Wakija bongo wanazungushwa weee hadi wanakata tamaa. January anajitakia haya yote kwa majigambo yake. Vilaza wanaobebwa bewa tu hawa. Waliosoma naye wakaenda chuo na kupata First class honors wanabaki kuwa maofisa kwenye wizara wakati wao bila chochote cha maana wanarukishwa tu,,,, 2015 inakuja watatafuta pa kujifichia

Kufeli mtihani sio mwisho wa maisha.George Bush alikua kilaza shule kulinganisha na ndugu yaje Jeb Bush.Lakini akaukwaa urais.Mnyika hana Degree wala cheti lakini ni mbunge,Mkurugenzi chamani na pia ni waziri kivuli na kazi kibao za chama anapewa.

Kipaji na bahati vina mchango pia katika kumnyanyua mtu..nani anweza kuthubutu kumpiga chini mnyika kwa kua tu ana elimi ndogo kwa sasa?
 
Back
Top Bottom