Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,706
- 4,748
CCM wanaweza kuushangaza umma kama enzi za 2015GE, watu wakapigana mapembe na kambi zao then JPM akawapita katikati yao kama maandiko ya Jesus alivyowapita wanafunzi wake kati kati yao.
Mi naona kwa sasa anatafutwa spika wa ku cool temperature kuelekea lango la 2025 marathon, na si spika wa miaka mitatu astaafu aanze kulipwa pension. Naona CCM wanaweza wasichelee kumpatia spika yeyote mwenye followers ama ambae yuko established kwa sbb they need a fella mwenye kulisimamia bunge kwa weredi hadi 2025.
Hazihitajiki mbwembwe sijui much know blah blah makundi afterall Piga ua mhimili ni Serikali tu hizo zingine mbwembwe,hata Tulia mtamlaumu bure huo ndio ukweli alikua anakitete cha kutetea chakula yake na familia. Rejea ya Six alivyotaka kuwa mhimili yaliyomkuta.
Having said that, yule ex-katibu wa bunge anaweza akawa surprise pick ya CC na wakaletewa mezani kumaliza mchezo. Ni msekwa ama Six sijui nae alianzaga na ukarani wa bunge, so Dr Thomas Kashililah ana uzoefu wa kutosha na madubwasha ya kanuni and the likes.
Simjui hanijui simpigii debe huo ni mtazamo wangu kama wengine wanavyoona muona Msukuma, sijui Jakumwi yule na kishort mwenye jina la kufikia la baba wa Taifa. Manake akili na macho na masikio ya watu yameelekezwa kwa Bi Stern aka Relax na Fire au moto wa kijenge wa kufukiza balaaa ze ikiwemo wachawi kwa kabila lake aka Chenge pamoja na Yankees.
CCM haijawahi kufeli jambo ila wenye jambo ndio hufeli sometimes.
NB: Mode Penye Kigaigai weka Dr. Thomas Kashililah
Mi naona kwa sasa anatafutwa spika wa ku cool temperature kuelekea lango la 2025 marathon, na si spika wa miaka mitatu astaafu aanze kulipwa pension. Naona CCM wanaweza wasichelee kumpatia spika yeyote mwenye followers ama ambae yuko established kwa sbb they need a fella mwenye kulisimamia bunge kwa weredi hadi 2025.
Hazihitajiki mbwembwe sijui much know blah blah makundi afterall Piga ua mhimili ni Serikali tu hizo zingine mbwembwe,hata Tulia mtamlaumu bure huo ndio ukweli alikua anakitete cha kutetea chakula yake na familia. Rejea ya Six alivyotaka kuwa mhimili yaliyomkuta.
Having said that, yule ex-katibu wa bunge anaweza akawa surprise pick ya CC na wakaletewa mezani kumaliza mchezo. Ni msekwa ama Six sijui nae alianzaga na ukarani wa bunge, so Dr Thomas Kashililah ana uzoefu wa kutosha na madubwasha ya kanuni and the likes.
Simjui hanijui simpigii debe huo ni mtazamo wangu kama wengine wanavyoona muona Msukuma, sijui Jakumwi yule na kishort mwenye jina la kufikia la baba wa Taifa. Manake akili na macho na masikio ya watu yameelekezwa kwa Bi Stern aka Relax na Fire au moto wa kijenge wa kufukiza balaaa ze ikiwemo wachawi kwa kabila lake aka Chenge pamoja na Yankees.
CCM haijawahi kufeli jambo ila wenye jambo ndio hufeli sometimes.
NB: Mode Penye Kigaigai weka Dr. Thomas Kashililah