Uso na miguu ya mwanamke hueleza ubora wa mashine yake

Mashine mashine tu hakuna cha Brand new, Used, wala Scrapper. Kama wajua kuitumia na kuwekea Lubricant vyema bila kusahau Service utaipenda@siku!!!

Ni, kweli kama wewe ni Kibamia na hujui kukitumia vyema utaishia kutoa kasoro na lawama tu. Lakini pia kumbuka ukubwa wa Pua si wingi wa Makamasi na Udogo wa Ndimu Mchuzi waungwa..... Kwa ujumla inategemea na Mapigo yako tuuu, mengine yote uongo!!!
 
Hebu nije na kwa upande mwingine!!! Na mwanaume mwenye kujaliwa AK47 utamtambuaje? Wakuu lugha za picha zafaa pia, leteni majibu ili tusiwe bias kwa kina mama/dada tu. Nao wanatamani wapate AK47 na si visindano.
 
Wazeee tulio zoea mambaula tukipata mnato tunahaamia kimoja
 
mwanamke si sura wala miguu, mwanamke ni heshima kwa mumewe, usafi, upendo, ujuzi na ufundi kitandani. Full stop. ukioa sura ama miguu ndo unakuta mengine ni maji matupu tena hao wenye miguu na sura ndo tepetepe kweli
 
Kazikubwa hii elimu ipo nami naijua. Vidole vya miguu vikiwa na uwazi mkubwa na mashine inakuwa pana avv. Midomo ikiwa mikubwa basi mashine inakuwa na mdundo mkubwa. Mwanya ukiwa mkubwa basi mashine inakuwa kubwa sana. Meno madogo yaliyokaribiana basi huo ni mnato wa nguvu. Vidole vikiwa virefu sana basi mashine iko deeep sana avv. Hiyo ni kwa uchache tu. Haya mkachgue sasa mashine nzuri.


Kama kuna DAKTARI naomba atupe relationship ya hivyo vitu kitaalam zaidi cause haijaniingia kabisa.
Kama hajaanza kufanya uchunguzi basi anaweza labda kutusaidia hata badae labda kwenye kufanya operations anaweza gundua chochote.
 
Kumekuwa na habari za chini kwa chini kuwa kuna baadhi ya makabila hasa wazee wa makamo hupewa elimu ya kumtambua mwanamke mwenye mashine safi kwa kuangalia mdomo na mpangilio wa vidole vya miguu yake. Elimu hiyo ni siri na hawataki vijana waijue.

Wazee hawa hutumia elimu hiyo kuopoa na kuoa vibinti vidogo. Chaguo la mzee halina kasoro kuhusu mashine. Dhamira kubwa ya kupeana elimu hiyo ni kumalizia umri wao kwa furaha kama alifanya kosa enzi za ujana kuvamia mashine feki ambaye sasa ni bimkubwa.

Vijana nasisi tunaitaka hiyo elimu ili tule vizuri tangu ujana. Kama kuna mtu mwenye ujuzi huo atujuze ili nasi tule matunda ya uhuru mapema na siyo kusubiri miaka 55 kama mifuko ya pensheni. Kuufikia umri huo ni mtihani kwetu vijana.
nyama ni nyama, nafsi yenye njaa haichagui chakula ugali mahale, bamia, mlenda twende tu
 
nakupinga kwa nguvu zote bibie,kuna mashine hata ukitumia utaalamu wako woote,bado work done= zero,kitu kipana afu deep!!super viko adimu sana esp nowdays!!kila ukigusa mashine,unakutana na FIAT.

Maandalizi tu kaka!WATU wana mafiat na yanavutwaa na bajaji,its all about how u mek it!tatizo lenu vijana hamjui haka kasanaa ndo mana mnawekeza kwenye ukubwa na udogo wa mashine.
 
mwanamke si sura wala miguu, mwanamke ni heshima kwa mumewe, usafi, upendo, ujuzi na ufundi kitandani. Full stop. ukioa sura ama miguu ndo unakuta mengine ni maji matupu tena hao wenye miguu na sura ndo tepetepe kweli
yutong kama vile hujaelewa thread jamaa anataka kuoanisha jinsi mwanamke alivyo miguuni mwake na uso wake ulivyo basi na K yake iko hivo hivo!si unajua vijana wako very curious siku hizi jamani!
 
Last edited by a moderator:
hakunaga used wala iliyochoka ndiyo maana hata vibibi vinabakwa!! ni jinsi tu unavyoitumia na service unayoipa, kama imekuwa kavu weka grease, kama ina kutu isugue kwa msasa! kama imetanuka mpeleke mwali wako mkoleni wabibi wanayajua majani inarudi kuliko mwanao wa mwisho! na mengine mengi, hutachoka wala kukinai! naamini mashine zote super ni vile tu mtumiaji na mtumiwaji wanavyojiweka!

Mh mh mh mh mh mh! Ngoja nijifiche nisikuone.
 
mashine kwa binadamu ni moyo tu! sasa kama sura na miguu vinaelezea moyo wa mwanadada sawa!
 
Kuna mpaka scientific research nimeona google ilifanyika Korea ila ni kwa wanaume na ili conclude vidole na urefu wa naniii. Ila si mnajua mambo ya research ilipingwa kwa nguvu zote na wana sayansi wengine. Lakini the fact remains kuwa hao wakorea walipima kabisa wanaume kadhaa. Kwa wanawake sijawahi sikia kusema za kweli.
 
Back
Top Bottom