Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
- Thread starter
- #21
Hizo ndizo dalili zenyewe za insanity, na kwa vile sasa its two years on na hajamlipua!, inamaanisha hatimaye ....akakaa kimya!.ulivyoiandika, mmmmmmmh kiudakuudaku.... ila si hilo ninalotaka kuuliza,
hivi assasian amchukue ampaleke kwake then ambembeleze?
kabisa matikila anataka kutuaminisha hayo?
kabisa na wewe umetuletea hayo?
kama ni muuaji angemmaliza bila yoyote kujua...... hapo mtikila kama anataka kujipaisha hivi...
mmmmmh
kwenye hili sina la kusema, mwenye masikio asikie, mwenye macho atazame...
P.