Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Nimelipia kwa makini hili bandiko la tuhuma za mauaji kwa ku fake accidents!, wajameni "karma' is real!, mdomo huumba!. nawaombeni sana wanasiasa na wana jf tuchunge sana kauli zetu!.
Mfano fuatilia hii thread hapa jf [h=3]Jamaa apata ajali.
[/h]Soma watu walisema nini,
Hivyo wandugu, kauli huumba. Tuwe Makini sana na kauli zetu!. Nilipozungumza na Mtikila kwenye uzi huu, alimzungumzia muuaji fulani anayepanga mauaji kwa ajali, na alimtaja!, kama ni kweli, hiyo 'karma' ya kifo cha Mtikila pia itamkuta!, karma haikwepeki!, lakini kama Mtikila, alimzushia tuu, jambo kubwa kama hili!, then ni kauli ya Mtikila Ndio iliyokiumba kifo chake!.
Tuchunge sana kauli zetu.
Pasco
ikimzungumzia huyu jamaa!, na baada tuu ya wiki, angalia kilichompata!, jamaa huyo huo mkono ni hadi leo!.
Mkuu Pasco mbona kama hauko straight .. kama ulizungumza nae kuhusu muuaji anayepanga mauaji kwa ajali na unaona wazi kifo chake kina utata unashindwa kuunganisha dots?