Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,241
- 36,281
Habari za wikiendi ndefu wotee,
Ijumaa nilitumiwa ticket na dadii na huku ndo nilikoandaliwamapumziko ya wikiendi ndefu......
Karibuni japo kwa macho...
Hilo ndo boti la dadii..... yanayofanyika huko hutakiwi kujua....
Mandhari ya nilipofikia ndo huyooo. ...wacha dadii aendelee kuishi miaka 100 hehehee nani asiye penda raha
Na hiko ndo chumba tunacholala kwa mbali kulia. Raha kujipa wenyewe tukingojea tuzo tutastaafu mambo haya hatujayafaidi.
Hahahahahaa mnayajua hayo madude? Ntawaletea zawadi nikirudi bongo.
Ni mtazamo wa aina ya maisha mtu (Kasie)anayochagua kuishi.
Angalizo:usiige maana waweza pasuka msamba. Ila kama na wewe ni mpenda furahia maisha na uumbaji wa mungu basi jiandae likizo kubwa mwezi wa 12.
Niwatakie maadhimisho ya sikukuu njema hii ya kesho hata sijui inaitweje sijui Idd elfitri au elhajj hata sijui mie najua ni mapumziko na kutopoteza wakati kufurahia maisha na uumbaji wa Mungu.
Kasie.
Ijumaa nilitumiwa ticket na dadii na huku ndo nilikoandaliwamapumziko ya wikiendi ndefu......
Karibuni japo kwa macho...
Hilo ndo boti la dadii..... yanayofanyika huko hutakiwi kujua....
Mandhari ya nilipofikia ndo huyooo. ...wacha dadii aendelee kuishi miaka 100 hehehee nani asiye penda raha
Na hiko ndo chumba tunacholala kwa mbali kulia. Raha kujipa wenyewe tukingojea tuzo tutastaafu mambo haya hatujayafaidi.
Hahahahahaa mnayajua hayo madude? Ntawaletea zawadi nikirudi bongo.
Ni mtazamo wa aina ya maisha mtu (Kasie)anayochagua kuishi.
Angalizo:usiige maana waweza pasuka msamba. Ila kama na wewe ni mpenda furahia maisha na uumbaji wa mungu basi jiandae likizo kubwa mwezi wa 12.
Niwatakie maadhimisho ya sikukuu njema hii ya kesho hata sijui inaitweje sijui Idd elfitri au elhajj hata sijui mie najua ni mapumziko na kutopoteza wakati kufurahia maisha na uumbaji wa Mungu.
Kasie.