Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Siku moja kijiji X kulitoa kisa hiki.
Baba k na mama k, walikuwa
Bahati mbaya mpini hule ukamkosa kunguru na kufikia mtoto wa jina yakadiriwa umri wa miaka mitano na kupiga kichwani na kufariki hapohapo.Kiwewe kilitawala kwa babak na mamak kwa kuua mtoto wa jirani yao.Wakafikili nini wafanye baba ya mauwaji yale.
Babak,akamshauri mke wake kumzika mtoto yule na hiwe siri yao,
Mamak,Akakubaliana na ushauru wa mme wake.
Basi maiti hile ya mtoto wakaamua kuizika ndani ya nyumba yao chumba chao wanacholala.Majira alitafuta mtoto kwa juhudi zote bila ya mafanikio.Kwa mila zao wakaamua kufanya matanga ya mtoto wako kama amekufa.
Maisha ya babak na mamak yakaendlea kawaida baada ya kujilizisha kuwa hawakubainika na mauwaji yale.
Yapata miaka miwili tangu wazike maiti ya mtoto wa jirani,Babak akaamua kumweleza rafiki yake wa karibu sana BabaJ.
Rafiki yangu babaJ hapa nilipo ninatatizo linautesa moyo wangu kila nikikumbuka nakosa amani.
BabaJ,akauliza nini rafiki hata mimi nakuona afya yako siyo kawaida kwani,nini kimetokea?
Babak,WAKUMBUKA kuwa mtoto wajirani yangu pale alipotea
BabaJ, Ndio,kwani vip,we,linakuusu nini,?
Babak,Mtoto yule hakupote.bali nilimuua kwa bahati mbaya.
BabaJ, Rafiki wasema nini !!!,YAKWELI MANENO YAKO?
Babak,Ndio Kama nilivyokueleza kisa na kuamua mimi na mamak kumzika maiti hile ndani ya nyumba yangu.
BabaJ,Kama mke wako anajua SIRI hiyo,Rafiki siyo risi tena
Babak,Kwanini wasema hivyo,ni muda sasa na walasijasikia kama imevuja.
Babaj, Hitavuja hiyo siri,
Babak, Nini nifanye sasa rafiri
BabaJ,Sasa mwandalie mamak safari ya kwenda kwao kusalimia mpe kila kitu,zawadi za kupelekea ndugu zake na akae kama mwezi na rudi.
Babak,Kweli akatekereza hilo na mamak akasafiri kwenda kwa wazazi wake kwa furaha.
BabaJ,Akafika nyumbani kwa babak na kumweleza kuwa wafukuwe maiti hile na kwenda polini na kuizika.Pia wauwe MBWA na kumzika pale pale walipozikuwa maiti ya mtoto,Atimaye zoezi hilo likafanyika kwa ufanisi.
MAMAK ,akarudi toka safarini namaisha yakaendelea kamakwaida.Baada ya miaka 3 ukatokea ugonvi mkumbwa sana kati ya babak na mamak,MAMAK AKAITOA SIRI HIYO KWA MAJIRANI KUWA BABAK ANATAKA KUNIUA KAMA ALIVYOUWA MTOTO WA JIRANI.
Jirani kusikia hivyo wakaleta polisi,mamak akawekwa chini ya ulizi na kueleza kisa chote cha mauwaji.Babak akakamatwa na kukana mauwaji kasema mke wangu anasema hivyo kwa kuwa tumegombana.
Polisi na wanakijiji wakafukua chumba cha babak na mamak WAKAKUTA KUMEZIKWA MBWA.
Babak,akajitetea kuwa hilo nitambiko lake la biashara.
Mamak ,Akaenda jela miezi 6 kwa kuatarisha maisha kijiji pale,
Babak akaenda kumshukulu rafiki yake BabaJ kwa mbinu hile
Je,UMEWAI MWAMBIA MKEO SIRI ????
Baba k na mama k, walikuwa
Bahati mbaya mpini hule ukamkosa kunguru na kufikia mtoto wa jina yakadiriwa umri wa miaka mitano na kupiga kichwani na kufariki hapohapo.Kiwewe kilitawala kwa babak na mamak kwa kuua mtoto wa jirani yao.Wakafikili nini wafanye baba ya mauwaji yale.
Babak,akamshauri mke wake kumzika mtoto yule na hiwe siri yao,
Mamak,Akakubaliana na ushauru wa mme wake.
Basi maiti hile ya mtoto wakaamua kuizika ndani ya nyumba yao chumba chao wanacholala.Majira alitafuta mtoto kwa juhudi zote bila ya mafanikio.Kwa mila zao wakaamua kufanya matanga ya mtoto wako kama amekufa.
Maisha ya babak na mamak yakaendlea kawaida baada ya kujilizisha kuwa hawakubainika na mauwaji yale.
Yapata miaka miwili tangu wazike maiti ya mtoto wa jirani,Babak akaamua kumweleza rafiki yake wa karibu sana BabaJ.
Rafiki yangu babaJ hapa nilipo ninatatizo linautesa moyo wangu kila nikikumbuka nakosa amani.
BabaJ,akauliza nini rafiki hata mimi nakuona afya yako siyo kawaida kwani,nini kimetokea?
Babak,WAKUMBUKA kuwa mtoto wajirani yangu pale alipotea
BabaJ, Ndio,kwani vip,we,linakuusu nini,?
Babak,Mtoto yule hakupote.bali nilimuua kwa bahati mbaya.
BabaJ, Rafiki wasema nini !!!,YAKWELI MANENO YAKO?
Babak,Ndio Kama nilivyokueleza kisa na kuamua mimi na mamak kumzika maiti hile ndani ya nyumba yangu.
BabaJ,Kama mke wako anajua SIRI hiyo,Rafiki siyo risi tena
Babak,Kwanini wasema hivyo,ni muda sasa na walasijasikia kama imevuja.
Babaj, Hitavuja hiyo siri,
Babak, Nini nifanye sasa rafiri
BabaJ,Sasa mwandalie mamak safari ya kwenda kwao kusalimia mpe kila kitu,zawadi za kupelekea ndugu zake na akae kama mwezi na rudi.
Babak,Kweli akatekereza hilo na mamak akasafiri kwenda kwa wazazi wake kwa furaha.
BabaJ,Akafika nyumbani kwa babak na kumweleza kuwa wafukuwe maiti hile na kwenda polini na kuizika.Pia wauwe MBWA na kumzika pale pale walipozikuwa maiti ya mtoto,Atimaye zoezi hilo likafanyika kwa ufanisi.
MAMAK ,akarudi toka safarini namaisha yakaendelea kamakwaida.Baada ya miaka 3 ukatokea ugonvi mkumbwa sana kati ya babak na mamak,MAMAK AKAITOA SIRI HIYO KWA MAJIRANI KUWA BABAK ANATAKA KUNIUA KAMA ALIVYOUWA MTOTO WA JIRANI.
Jirani kusikia hivyo wakaleta polisi,mamak akawekwa chini ya ulizi na kueleza kisa chote cha mauwaji.Babak akakamatwa na kukana mauwaji kasema mke wangu anasema hivyo kwa kuwa tumegombana.
Polisi na wanakijiji wakafukua chumba cha babak na mamak WAKAKUTA KUMEZIKWA MBWA.
Babak,akajitetea kuwa hilo nitambiko lake la biashara.
Mamak ,Akaenda jela miezi 6 kwa kuatarisha maisha kijiji pale,
Babak akaenda kumshukulu rafiki yake BabaJ kwa mbinu hile
Je,UMEWAI MWAMBIA MKEO SIRI ????