Usimfungue mtumwa ambaye yupo kwenye utumwa wake, anaweza kukugeuka

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,997
9,591
Wengi wetu tumekuwa tukilalamika njinsi marafiki, ndugu na n.k tunapo wapa mwangaza asilimia 100 na kujikuta wanakuwa wabaya kwako.

Nilimchukua jamaa mmoja nika mpeleka nchi za nje kwa roho ya kutaka na yeye kufunguka ila mwisho wa siku ndio yeye anayenizunguka nilipo mpeleka kuniwekea vizingiti.

Mambo mengine tuangalie watu walivyo sio tu kwenye biashara na mengine tu ambayo unaweza kujikuta tatizo kwako.
 
Ukiwa unataka kumsaidia mtu hakikisha humnyanyasi wala humtesi katika mchakato wa kumsaidia.

Mara nyingi kugeukwa au kuzungukwa na uliemsaidia sababu hua ni kisasi.
Wengi huwa anakusaidia huku anakunyanyasa we! Ukipata mlango wa kutokea tu unamkataa anaanza kulalamika😁.

Tuishi kwa upendo, kuna watu wamesaidiwa na wanaendeleza upendo hadi kwa familia nzima walizotokea. Wanakuwa ndugu kabisa
 
Wengi huwa anakusaidia huku anakunyanyasa we! Ukipata mlango wa kutokea tu unamkataa anaanza kulalamika😁.

Tuishi kwa upendo, kuna watu wamesaidiwa na wanaendeleza upendo hadi kwa familia nzima walizotokea. Wanakuwa ndugu kabisa
Hakika mkuu, kama unataka kumsaidia mtu hakikisha unafanya hivyo kwa upendo, otherwise usisaidie mtu.
 
Ukiwa unataka kumsaidia mtu hakikisha humnyanyasi wala humtesi katika mchakato wa kumsaidia.

Mara nyingi kugeukwa au kuzungukwa na uliemsaidia sababu hua ni kisasi.
Umeongea point. Mtu ukimsaidia msaidie kwa moyo wote bila kumwekea masharti yoyote. Na ukishamsaidia mwache ajipambanie na sio kumfuata fuata. Kuna jamaa yangu mwaka 2014 alikuwa kapigika hatari akawa hana nauli ya kutoka Arusha - Mbeya kwenda kwenye interview. Nakumbuka hata mimi nilikuwa nimepigika sana ila nikamsaidia hela ya tiketi tu. Alikuja kupata ile kazi na hadi muda huu kupitia hiyo kazi anaenda Ulaya na Amerika kama Kkoo. Hadi leo hii tumebaki kuwa marafiki na tunasaidiana hapa na pale. Imekuwa hivyo kwasababu mara baada ya kusaidiana kila mtu aliendelea kuwa bize na maisha yake.
 
Ukiwa unataka kumsaidia mtu hakikisha humnyanyasi wala humtesi katika mchakato wa kumsaidia.

Mara nyingi kugeukwa au kuzungukwa na uliemsaidia sababu hua ni kisasi.
Hapana,
mara nyingi ni kutokuwa waadilifu, kijicho(envy eye) bila kusahau ushamba/ulimbukeni.
 
Hapana,
mara nyingi ni kutokuwa waadilifu, kijicho(envy eye) bila kusahau ushamba/ulimbukeni.
Nakubali hii pia inaweza kua sababu, ila ni mara chache sana hutokea.

Yaani from no where mtu umemtoa chini, ukampigania hadi akatoboa then akageuka kua adui baada ya kutoboa bila sababu yoyote? Hapana.

Tujirekebishe kidogo tusiwalaumu saaaana tuliowasaidia, tuangalie na matendo yetu yalikuaje pindi tunawasaidia
 
Wengi wetu tumekuwa tukilalamika njinsi marafiki, ndugu na n.k tunapo wapa mwangaza asilimia 100 na kujikuta wanakuwa wabaya kwako.

Nilimchukua jamaa mmoja nika mpeleka nchi za nje kwa roho ya kutaka na yeye kufunguka ila mwisho wa siku ndio yeye anayenizunguka nilipo mpeleka kuniwekea vizingiti.

Mambo mengine tuangalie watu walivyo sio tu kwenye biashara na mengine tu ambayo unaweza kujikuta tatizo kwako.
CCM ni wajanja sana ndo maana wanaendelea kutufanya watumwa wanajua tu wakitufanya huru wamekwisha.
 
Ukiwa unataka kumsaidia mtu hakikisha humnyanyasi wala humtesi katika mchakato wa kumsaidia.

Mara nyingi kugeukwa au kuzungukwa na uliemsaidia sababu hua ni kisasi.
Katika watu wote nilio wai kuwapa TAGS ya kimaisha nimejifunza yafuatayo..

Tenda wema nenda ZAKO usingoje shukrani..
 
Kabisa mkuu.

Na akitoboa na yeye lazima alipize kukunyanyasa🤣
Tenda kwa kiasi wengine wanatenda kupitiliza Mwisho wanaishia kutenda visivyo na baadae mtu akija kugundua kua alikua akitumika kwa manufaa ya aliemtumia kifuatacho ni revenge na zile za sitaki hata kumuona kwenye Maisha yangu
 
Nakubali hii pia inaweza kua sababu, ila ni mara chache sana hutokea.

Yaani from no where mtu umemtoa chini, ukampigania hadi akatoboa then akageuka kua adui baada ya kutoboa bila sababu yoyote? Hapana.

Tujirekebishe kidogo tusiwalaumu saaaana tuliowasaidia, tuangalie na matendo yetu yalikuaje pindi tunawasaidia
Kuna kusaidia kwa manufaa ya Msaidiwa
Kuna kusaidia kwa manufaa ya Mtoa Msaada

Sasa walivyo wengi wanakusaidia Ila katika huo msaada na yeye anakunja ya kwake, sasa Msaidiwa unapokuja baadae kugundua kua Mtoa Msaada alikua anakusaidia kwa manufaa yake hapo ndio balaa linapoanzia yaan ni mara 100 Msaidiwa asije kujua kwamba anaemsaidia anamsaidia kwa manufaa yake mwenyewe na sio vinginevyo
 
Wengi wetu tumekuwa tukilalamika njinsi marafiki, ndugu na n.k tunapo wapa mwangaza asilimia 100 na kujikuta wanakuwa wabaya kwako.

Nilimchukua jamaa mmoja nika mpeleka nchi za nje kwa roho ya kutaka na yeye kufunguka ila mwisho wa siku ndio yeye anayenizunguka nilipo mpeleka kuniwekea vizingiti.

Mambo mengine tuangalie watu walivyo sio tu kwenye biashara na mengine tu ambayo unaweza kujikuta tatizo kwako.
Bado haimaanishi usisaidie watu wahitaji hasa ndugu zako utakuwa unakosea zaidi..
 
Nakubali hii pia inaweza kua sababu, ila ni mara chache sana hutokea.

Yaani from no where mtu umemtoa chini, ukampigania hadi akatoboa then akageuka kua adui baada ya kutoboa bila sababu yoyote? Hapana.

Tujirekebishe kidogo tusiwalaumu saaaana tuliowasaidia, tuangalie na matendo yetu yalikuaje pindi tunawasaidia
Unanisaidia sawa ila sio unitangaze kwa kila mtu hapo utaniona mimi mbaya isee..

na ndio wengi wa watoa msaada wapo hivyo hasa wasukuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom