cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Haya bwana mambo ya kufundwa hayo, mh lakini wewe unaonyesha kumbe staki na taka angebeleza 2 ungekumbuka mahusia ya kufundwa ukakubali wewee.
mambo ya kufundwa shosti yanahu,lkn kama atafanikiwa 'kunibembeleza' hadi nijisikie kumkubalia kwa nini niendelee kumkatalia?
cha muhimu ni jinsi ninavyojisikia,akifanikiwa kunifanya nijisikie vizuri then naupa ukuta mgongo!