deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
vijana wote hapa mtaani kwetu wananiheshimu kisa nina 'SUPA SPOTI' bila hivi vidude nisingeweza kuangalia 'LA LIGA' hongereni munjy1, m2n, na njunwa wamavoko!
pole km umeshindwa kujijengea heshima mwenyewe hapo mtaan hadi hao dstv wamekuja kukujengea.
Last edited by a moderator: