Usichakachue Mawazo Express your Self!!!

clinging, kimino na mgongo wazi, kipi kinapandisha presha wazee? wifi kumbe unafaa kuwa wardrobe manager eeh, ntakusaka tusindikizane shopping,lol!

Kama uko kama hio Avatar... Rasta weka Style ya Mohoc... inampendeza kila mtu...

Nguo kwenye harusi nivizuri kuvaa nguo ndefu hadi miguuni BUT sexy....
Hivyo itabidi i cling kidogo mwilini kuliko kuvaa fupi hali wazee wanakuwepo
yaani bora hata mgongo wazi kidogo... alafu kuna zile suruali zimekuja
waweza vaa usiku na Stiletto za Gladieters... ila top iwe sexy and silky...
 

i made a promise to call her last night... nikapitiwa na usingizi nikimsomea kitabu mtoto wa sis wangu ili alale.. nimestuka nakuta e-mail akinilaumu nimemuweka macho akisubiri call yangu! now aim thinking nimueleze vipi anielewe..
sababu katika mail yake ameshaweka conclusion "umekuwa muongo sikuhizi hun"


Njiwa pole saana.... I hope tayari usha solve... I am sorry sikuipata hii mapema.. Uje na feedbak basi....
 
jamani! ww unataka mwenzio astaafishwe kazi kwa manufaa ya umma? kama rais handsome jana bbc swahili alikuwa analaumu ukame (story ya kila siku, as if next year ana appointment za mvua na Mungu), huoni kama tatizo la umeme is here to stay? bora aseme ana mafua ya kitimoto watampa na extra days kabisaa!


ha ha ha....lol... Naona yako imekaa vema - Unaona atastaaafishwa eeeeh?? lol
 
clinging, kimino na mgongo wazi, kipi kinapandisha presha wazee? wifi kumbe unafaa kuwa wardrobe manager eeh, ntakusaka tusindikizane shopping,lol!



Wifi mimi love shopping (but huenda kwa mood, not always...)

Bora wazee wakuone mgongo wazi kiasi, kuliko kimino... unashindwa hata

kutembea with pride maana mwenyewe wajishuku..(you know wat i mean...)
 
Mimi nawaza mengi mengi tu, kila dakika mawazo yanachange. Lakini yote ni hasira hasira tu
 
Mimi nawaza mengi mengi tu, kila dakika mawazo yanachange. Lakini yote ni hasira hasira tu


Dah! Pole saana Mbagala... try relaxing na ondoa hayo
mawazo maana yaweza haribu afya yako....

Have a nice day and try to enjoy...
 
Njiwa pole saana.... I hope tayari usha solve... I am sorry sikuipata hii mapema.. Uje na feedbak basi....

nilimpigia simu asubuhi mida ambayo najuwa amesha staftahi na kifungua kinywa ... alipokea simu na kuniacha niongee mimi, ni msikivu nikampa promise again nitampigia usiku tena ... though nitakuwa busy na clinical rounds , nimempa promise i will find time for her 10- 15min... naomba mungu tonight i wont have any trauma patient
 
nilimpigia simu asubuhi mida ambayo najuwa amesha staftahi na kifungua kinywa ... alipokea simu na kuniacha niongee mimi, ni msikivu nikampa promise again nitampigia usiku tena ... though nitakuwa busy na clinical rounds , nimempa promise i will find time for her 10- 15min... aim praying god , tonight i wont have any trauma patients


Toka maelezo yako nime notice she means a lot to you... ila you are treating her kama vile hana huelewa (sorry to say this...) Mtu unae mdate the way mta treatiana mwanzo mwa relation ship it hase always it be constant, ndo maana too much exaggeration mwanzoni mwa mapenzi hupelekea tensiion katika mahusiano mapema. Njiwa talk to her Man... find time, she has to know and try to understand when you are busy and that you have a demanding job... For kazi unayofanya (nimenotice ni Doc, tena katika delicate cases...) inahitaji mwanamke anaejua any time and any moment you can leave her as a result of emergencies....

Hata hivyo i am hoping it works out.... Best of Luck Pal.....
 
Dah! Pole saana Mbagala... try relaxing na ondoa hayo
mawazo maana yaweza haribu afya yako....

Have a nice day and try to enjoy...
Nikusahihishe kidogo bi Asha, Jina langu ni MABAGALA sio Mbagala, mbona unaniongezea mawazo ya hasira tena?
 
Nikusahihishe kidogo bi Asha, Jina langu ni MABAGALA sio Mbagala, mbona unaniongezea mawazo ya hasira tena?


Jamani.... sijui niseme nini ila tu naomba ujue NAOMBA MSAMAHA..... Mabagala... sitarudia kosa.... Sorry...
 
Nimejikuta najiuliza..kulikoni mawazo kama haya ninayosoma?

dont dare me challenge like this
nikikuambia exactly what i am thinking now..
hii thread itapelekwa jukwaa la wakubwa na mimi kupewa ban
get it
??????????

Asha bana! Haya mawazo tunayowaza "hayaandikiki" lakini siyo kama ya The Boss. .

Unfortunately, siwezi kusema ninachowaza sasa kwa sababu kinavunja vigezo na masharti ya JF Rules

Hizo asilimia sina hakika nazo ila naweza kukueleza kwa hukakika kabisa kwamba wanaume mara nyingi wanawaza vitu vikubwa viwili,

Pesa (na viambatanisho vyake...kinywaji au deal nyingine)
Ngono...mara nyingi na kiumbe kipya ambacho kiko kwenye wish list yake au kakiona mahali!!

I am thinking of my Gozi at this time, I wish he was here and I would get out of this site.

Yangu nayabania mmmhh
nikiyandika nakula BAN ya mwaka...

samahani mpenzi...

ha ha ha.... AD dear... wewe sio wa kwanza...
hizi kauli zinanifurahisha kweli... naona kweli
wengi wanayabania... nipe hints basi...
nakupa multiple choice ifuatayo;

I will narrow it down for you

  1. Sex related
  2. Anger related
  3. Name calling related
  4. No Guts related.

Hili Gozi langu halichelewi, safari zake za haraka haraka, alikuwepo leo asubuhi kanipigia simu anasafiri, ndio zake. Ji handsome langu, nikubandikie picha yake hapa? Wengi watalia nikiiweka! lol.



Mimi nawaza mengi mengi tu, kila dakika mawazo yanachange. Lakini yote ni hasira hasira tu
Kweli mawazo ni mengi..na hubadilika kila mara.....

Mimi hadi sasa nawaza kwanini hayo hapo juu yametawala fikra za watu?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nimejikuta najiuliza..kulikoni mawazo kama haya ninayosoma?

Kweli mawazo ni mengi..na hubadilika kila mara.....

Mimi hadi sasa nawaza kwanini hayo hapo juu yametawala fikra za watu?


ha ha ha... I believe ule msemo wa Mapenzi yana RUN Dunia ndio iko hapa....

Hivyo kupelekea Sex i RUN the brain....lol
 
Back
Top Bottom