annahprosper
New Member
- Jul 24, 2021
- 1
- 4
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu naweza kuwaita ni wafanyabiashara wakitumia fursa hii ya kuelimisha ni jinsi gani unaweza kufanya ili upunguze mwili. Wengine wakitoa mbinu za kupunguza kutambi wengine mikono n.k lakini utaenda nao sambaba mwisho wa siku hawakupi zile hatua unazotakiwa kufuata mpaka ulipie mafunzo kwa kupitia namba wanazoweka mwishoni kama ukihitaji.
Katika historia hii naamini inaenda kubadilisha maisha yako bila kutumia gharama zozote zile na hatimae utaweza kufanikiwa kabisa kupungua na kupata kilo unazotaka.
Kwa majina naitwa Annah Moshi nina miaka ipatayo 32 sasa na nimekuwa muhanga wa jambo hili kwa muda mrefu sana. Kwa sasa nina kilo 93 kutoka kilo 126 na nina mwezi wa 6 toka nimeanza programu ambayo niliona itanifaa mimi na hata wengine wenzangu na mimi bila kutumia gharama kubwa na kuathiri mfumo mzima wa upangiliaji wa chakula nyumbani kwako.
Hivyo bado naendelea nayo na mpaka sa hii nimeweza kufanikisha kutoa kilo 33 na bila kuonesha kuchoka au kupauka.
Lakini pia huwa nafanya na mazoezi hasa kukimbia na kuruka kamba na ninafurahia maisha kabisa hivyo nimeona niwashirikishe na wadau wengine kama mimi tuweze kusaidiana katika hili jambo
IFUATAYO NI MILO YA KUFUATA
ASUBUHI
Matunda aina yoyote isipokuwa ndizi na parachichi au mbogamboga. Huna uwezekano wakupata matunda usikae njaa kabisa kunywa uji wa dona robo lita na sukari weka kijiko 1cha chai.
MCHANA
Kula chochote unachotamani kwa wakati huu ila kwa kiasi huu ni muda wa kujidai
JIONI
Fanya kama ulivyofanya asubuhi ila ni vizuri ukanywa na maji ya vuguvugu yaliyotiwa limao na kama una madonda ya tumbo juisi ya matango kama huna namna ya kufanya juisi, kula matunda yenyewe nanasi, matikiti, machungwa, matofaa, mapapai ndo yanayopendekezwa. Itakufaa kunywa na maji ya kutosha kwa kila mlo ufanyao.
Kwa hiyo;
Ukifuata mlolongo huu utakuwezesha kupungua kila siku wala hautaongezeka tena na utashangaa na tumbo litakavyopukutika ila ukitaka matokeo ya haraka ufanye mazoezi pia angalau nusu saa kwa siku. Lakini pia siyo lazima kama huwezi
Asanteni sana ukihitaji maelezo simu no 0712857801. Ushauri ni bure kabsa.
Katika historia hii naamini inaenda kubadilisha maisha yako bila kutumia gharama zozote zile na hatimae utaweza kufanikiwa kabisa kupungua na kupata kilo unazotaka.
Kwa majina naitwa Annah Moshi nina miaka ipatayo 32 sasa na nimekuwa muhanga wa jambo hili kwa muda mrefu sana. Kwa sasa nina kilo 93 kutoka kilo 126 na nina mwezi wa 6 toka nimeanza programu ambayo niliona itanifaa mimi na hata wengine wenzangu na mimi bila kutumia gharama kubwa na kuathiri mfumo mzima wa upangiliaji wa chakula nyumbani kwako.
Hivyo bado naendelea nayo na mpaka sa hii nimeweza kufanikisha kutoa kilo 33 na bila kuonesha kuchoka au kupauka.
Lakini pia huwa nafanya na mazoezi hasa kukimbia na kuruka kamba na ninafurahia maisha kabisa hivyo nimeona niwashirikishe na wadau wengine kama mimi tuweze kusaidiana katika hili jambo
IFUATAYO NI MILO YA KUFUATA
ASUBUHI
Matunda aina yoyote isipokuwa ndizi na parachichi au mbogamboga. Huna uwezekano wakupata matunda usikae njaa kabisa kunywa uji wa dona robo lita na sukari weka kijiko 1cha chai.
MCHANA
Kula chochote unachotamani kwa wakati huu ila kwa kiasi huu ni muda wa kujidai
JIONI
Fanya kama ulivyofanya asubuhi ila ni vizuri ukanywa na maji ya vuguvugu yaliyotiwa limao na kama una madonda ya tumbo juisi ya matango kama huna namna ya kufanya juisi, kula matunda yenyewe nanasi, matikiti, machungwa, matofaa, mapapai ndo yanayopendekezwa. Itakufaa kunywa na maji ya kutosha kwa kila mlo ufanyao.
Kwa hiyo;
Ukifuata mlolongo huu utakuwezesha kupungua kila siku wala hautaongezeka tena na utashangaa na tumbo litakavyopukutika ila ukitaka matokeo ya haraka ufanye mazoezi pia angalau nusu saa kwa siku. Lakini pia siyo lazima kama huwezi
Asanteni sana ukihitaji maelezo simu no 0712857801. Ushauri ni bure kabsa.