Kama nilio anza juhudi zangu za kupunguza uzito, huu ni mwezi wapili kwa kutumia mfumo ule ule wa kula mlo moja mboga za majani sana na kuepuka vyakula vyenye wanga sana kama chapati ugali na chapati. Mwezi wa kwanza matokeo yali patikana kwa kupungua 8kg.
Kwa kuendelea na utaratibu huo huo mwezi wa pili nimepima leo matokeo ni kwamba ni mepungua 0.5kg nusu kg tatizo ni nini? Mwili umezoea huo mfumo kuna haja ya kubadili diet au mfumo na mda wa kula?
Target yangu ni kumpungua 20kg ndani ya mwezi mitatu ila naona mwezi wa pili nimepunguza nusu kilo tu, na bado nimebakiza mwezi moja. Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!
Kwa kuendelea na utaratibu huo huo mwezi wa pili nimepima leo matokeo ni kwamba ni mepungua 0.5kg nusu kg tatizo ni nini? Mwili umezoea huo mfumo kuna haja ya kubadili diet au mfumo na mda wa kula?
Target yangu ni kumpungua 20kg ndani ya mwezi mitatu ila naona mwezi wa pili nimepunguza nusu kilo tu, na bado nimebakiza mwezi moja. Kila ninapoweka juhudi za kupungua uzito, ndio naongezeka!