Ushirikina walioufanya Simba ugenini ni kutuchafua watanzania, Vitendo vyao vina madhara makubwa sana juu ya fikra za wageni kwa watanzania kiujumla

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,407
19,071
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?

Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.

Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,

alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?

1650885536632.png
 
Kilichofanyika jana kimechukuliwa na nchi wengine kutuona watanzania ni watu wachawi, washirikina, hatumwamini Mwenyezi Mungu wala uwezo wetu bali tunaamini uchawi.

Hii inajenga maneno ya "watanzania ni wachawi" kwenye vinywa vya wageni.

Ni bora haya mambo yasihie humu humu ndani ya mipaka ila yasifanyike nje,

Wachezaji nao wote huwa wanapost picha wamevaa kanzu wengine wapo kanisani kumbe hakuna kitu ni maigizo tu,

View attachment 2200002
Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.

Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?

Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?

Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?

Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
 
Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.

Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?

Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?

Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?

Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
Kuna mambo mengine mtu unaweza kuyapenda lakini inabidi uyafiche kidogo unapokuwa nje ya nchi.

Hao orlando pirates ni mechi ipi nje ya nchi yao wametambika uwanjani kama huo upuuzi waliofanya simba.

uje na facts, so stori
 
huyo ndo mweupe kabisa waulize wanaofanya kazi kwake
Hivi kweli Mohammed Dewji anayewekaga mistari ya quran ndie aliridhia huu ujinga ufanyike?
Nao wachezaji wote hakunahata moja alieweza kutetea imani yake?
 
Hivi kweli Mohammed Dewji anayewekaga mistari ya quran ndie aliridhia huu ujinga ufanyike?
Nao wachezaji wote hakunahata moja alieweza kutetea imani yake?
Bar bara aliridhia sababu alikuwa na timu uko kwa Madina
 
Linapokuja suala la kupata hela akili ya kawaida hugota, msaada huwa ni ushirikina tu, ndiyo maana kwenye timu za simba na yanga kuna wazee, hawa wazee kazi zao huwa nini hasa kama si benchi la ushirikina ili timu iwe inashinda? By the way ushirikina umetawala katika kila nyanja, lengo ni kufanikiwa tu
 
Naona utopolo mmepata kichaka cha kutolea stress zenu kwenye hili sakata.

Uchawi ungekua na nguvu Basi Naijeria wangekua wanasumbua Sana Africa na huko dunian .

Ile ni mind game tu acheni kuhara hara hapa Swain zenu
 
Back
Top Bottom