Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,302
- 4,682
Mr Kijoka nadhani hujaelewa mtoa mada anachozungumzia, maana point zako zinalenga kumkabili bila yakuelewa anacho maanisha, nadhani point sio kukashifu imani za watu wala kuziona hazifai ila swala muhimu hizo imani zina uelekeo mzuri kwa jamii? Hebu fikiri mtu anakutwa na ngozi ya mwanadamu mwenzake je hiyo imani ni sawa?
Kamwe hatuna mamlaka ya kuingilia imani za watu ila na wao imani zao hazina mamlaka ya kuifanya jamii iwe na hofu kwao,,, uchawi wa kukata viungo vya binadamu mwenzako huo ni upuuzi tena ni zama za giza kabisa!
Tafuta sehemu ambayo nimesapoti uchawi, au nimeunga mkono mauaji ya kikatili...
We nawe hebu acha kukurupuka kama Kibonde lool