Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 924
Wasalaaam!
Ni po kwa masikitiko juu ya aina hii ya uchaw kwenye biashara,nakumbuka siku moja jamaangu mmoja anafanya biashara ya duka la madawa na M-Pesa alikutwa na msala wa kupoteza laki nne katika mazingira tatanishi.
Alikuja binti akiwa ma mama wa makamu wakiwa na elfu kumi wakanunua dawa za elfu mbili na kupewa chenji elfu nane, jamaa kachukua ile elfu kumi akachanganya na milion mbili za m-pesa, baada ya dk tano kaja mtu anataka kutoa laki tano kwenye m-pesa, jamaa kucheki tayari ana loss ya laki nne!
Najaribu kufikilia dawa hasa ya huu mchezo wa chuma ulete nini?
Kaka'angu ana ofisi ya stationery, haya yanamkuta kila mara, alishawahi kushauriwa na wenzake kwamba akimstukia mtu kama atahitaji huduma ambayo itahitaji chenji basi ni kumwambia chenji baadae, then akiondoka anaenda kuchenji sehemu nyingine, bila hivyo hesabu maumivu.
Dawa hii ya chuma ulete itakomeshwa vipi? Isiwe kwa mganga.
Ni po kwa masikitiko juu ya aina hii ya uchaw kwenye biashara,nakumbuka siku moja jamaangu mmoja anafanya biashara ya duka la madawa na M-Pesa alikutwa na msala wa kupoteza laki nne katika mazingira tatanishi.
Alikuja binti akiwa ma mama wa makamu wakiwa na elfu kumi wakanunua dawa za elfu mbili na kupewa chenji elfu nane, jamaa kachukua ile elfu kumi akachanganya na milion mbili za m-pesa, baada ya dk tano kaja mtu anataka kutoa laki tano kwenye m-pesa, jamaa kucheki tayari ana loss ya laki nne!
Najaribu kufikilia dawa hasa ya huu mchezo wa chuma ulete nini?
Kaka'angu ana ofisi ya stationery, haya yanamkuta kila mara, alishawahi kushauriwa na wenzake kwamba akimstukia mtu kama atahitaji huduma ambayo itahitaji chenji basi ni kumwambia chenji baadae, then akiondoka anaenda kuchenji sehemu nyingine, bila hivyo hesabu maumivu.
Dawa hii ya chuma ulete itakomeshwa vipi? Isiwe kwa mganga.