huyu kazi yake ni kutupa pumba za ccm katika magazetiBwana katibu mwenezi wa CCM tafadhali naomba unieleweshe kitu kimoja tuu, ni nini ulikuwa mchango wako kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga?
View attachment 38434 UJUE NAPE HAKUKANYAGA KABISAAAAA IGUNGA.....(hapa akiwa sokoni Igunga siku mbili kabla ya kufungua kampeni Rasmi)
Mkuu si Nnape peke yake. Ungeuliza pia Naibu Katibu Mkuu Bara alikuwa wapi wakati chama chake kinapigania kura huko Igunga!! Haya mambo si madogo.
Tatizo lenu mnalinganisha paka na Simba then mnasema wako sawa. Huwezi kuilinganisha CCM na chadema kwa wigo wa viongozi. CCM wana hazina ya viongozi wengi na wenye uzoefu wakutosha kwenye siasa, ww angalia tu wameweza kuwatumia wakina mashishanga, mangula, mkapa nk ambao ni wachache sana, hivi unafikiria ingeamua kuwatumia viongozi wote igunga ingekuwaje?. Ila kwa chadema wao kuwatumia viongozi wao wote ni sawa kwani wigo wao hauko mpana km wa CCM walivyo.
tofauti uliyonayo na mzee yusufu makamba ni umri tu vinginevyote mnalingana.ujinga,akili,upumbavu ulopokaji ndo usiseme
Katibu mwenezi!
Hivi magwanda hamna sera za kuongelea? kila kukicha Nape, Rostam, wamewakaa rohoni. Na Watanzania wanao wapa kura kwa kuongelea watu nawaonea huruma sana.
Hivi magwanda hamna sera za kuongelea? kila kukicha Nape, Rostam, wamewakaa rohoni. Na Watanzania wanao wapa kura kwa kuongelea watu nawaonea huruma sana.
Avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)Hivi magwanda hamna sera za kuongelea? kila kukicha Nape, Rostam, wamewakaa rohoni. Na Watanzania wanao wapa kura kwa kuongelea watu nawaonea huruma sana.