Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Kuna wanafunzi zaidi ya 25 walisimamishwa masomo katika chuo kikuu cha Dodoma wiki iliyopita tarehe 28.03.2012,sababu ni kuwa waliondoka chuoni wakiwa wamevaa sare za chadema wakienda huko kata ya Chang'ombe manispaa ya Dodoma kushiriki kampeni za uchaguzi wa udiwani,walipofika geti la chuo gari lilikamatwa, likapelekwa utawala,wakalazimishwa kuvaa bendera na kupigwa picha.Kesho yake tarehe29.03.2012 wote walipewa barua za kusimamishwa masomo siku 21.Lakini tofauti na kawaida siku ya jana wote wamerudi chuo kwa kilicho tafsiriwa ni kiwewe cha matokeo ya Arumeru Mashariki.Maana kuna watu wengi wamefukuzwa mwezi wa2 bila sababu hadi leo hawajaitwa,