AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
I wish dada.
Ila huyu demu chenga ile mbaya, ana maudhi plus shobo za kijinga.
Kila nikiona post zake za kabila ile huwa nachafukwa roho... Halafu upande mwingine anajifanya decent sana.
Aaaaagh!
Kwamba you can hate her so tokana na post zake, wewe ndio unaonekana na madhaifu makubwa kuliko yeye. Yawezekana kweli akuudhi, lakin Mphamvu kwa maneno yako haya makali ni nani ambae awezi dhamiria kukuudhi? mimi nimewafuatilia humu ndani na kweli kabisa hata wewe ukisoma utakuta wewe ndio unaonekana una tatizo.... angalia saana haya mambo, isije ikawa ndo ile ya "a small line between Love and and hate..... watch out....