We hata usiponigongea si nna password yako?Nilitaka nigonge "Like" nimeahirisha...
Kulaaaleki.... we ndo Modereta wa kwanza kulamba LIKE ya ODM. Na like yangu moja ni sawa na 5o za AshaDii.You have a new Edition of Like from Fang. Next time adhere to the Thread in question, give Strong and Valid point of views in relation with the Topic in hand and you will be guaranteed of more Likes.
JF Daima.
We hata usiponigongea si nna password yako?
You have a new Edition of Like from Fang. Next time adhere to the Thread in question, give Strong and Valid point of views in relation with the Topic in hand and you will be guaranteed of more Likes.
JF Daima.
kwani Likes ni nini jamani ..naona kuna watu huwa wanamwaga mapoint kwenye majukwaa ya siasa ,Intelligence ,lakini sioni wakipeana likes ?
fang uwe unatembelea na huko
kuna jina moja humu nalihusudu sana siku likinigongea "like" ntafurahi sana!!!!nipo tayari kuwaudhi wote jamvini lakini siyo hilo jina hata akipost kitu sikikubali huwa nasikia raha tu!
Kwahiyo unatakaje sasa?
Endelea kunichukia. . na nikichangia nuna mpaka upasuke maana uwezo unaotamani ungekua nao hauna.
L. . . O. . .
Kulaaaleki.... we ndo Modereta wa kwanza kulamba LIKE ya ODM. Na like yangu moja ni sawa na 5o za AshaDii.
Dah! Shem ndo nini unanifanyia sasa?
sitaki chochote.
Nashukuru umejua, ila fo sho! Ningeweza kufuta post zako...
Una karoho ka shetani ndani yako.
You have a new Edition of Like from Fang. Next time adhere to the Thread in question, give Strong and Valid point of views in relation with the Topic in hand and you will be guaranteed of more Likes.
JF Daima.
Mphamvu taratiiibu kaka.... Hatuendi hivo kabisa....
mimi, tena sio mara moja.Nani kashawahi kugongewa Likes na Nyani Ngabu?
Yaani nimeshiba bado nikiwa na hamuHilo ndio nilisahau.... Hujanijibu shem kama umeshiba matunda Mix...
Kulaaaleki.... we ndo Modereta wa kwanza kulamba LIKE ya ODM. Na like yangu moja ni sawa na 5o za AshaDii.