Wakuu heshima Kwenu wote. wakuu nimeleta maada hii kutokana na yaliyomkuta rafiki yangu wa karibu aliyefunga ndoa mwaka 2008 na sasa anateseka nayo baada ya mke kuondoka na kurudi kwao na kupokelewa kwa furaha na upendo. hii imeshitusha kwa kuwa nami nilikuwa nikiwa kwenye mchakato wa kutafuta mwenza wa kufa na kuzikana.
tarrifa yenyewe ni kama hivi ifuatavyo kama alivyonihusisha..
Yeye na mke wake walikuwa kwenye mahusiano kabla ya kufikia maamuzi ya kuwa mwili mmoja kwa muda wa miaka mitatu toka 2006 mpaka novemba 2008 ambapo waliamua kuhararisha mahusiano yao kwa kufunga ndoa ya kanisani na kubwa iliyopongezwa na watu wote walioshuhudia decemba 2008.
toka hapo ndoa ilikuwa ya raha na furaha tele pia wamejariwa kupata mtoto mzuri anayefanana nayo wa kiume ndani ya ndoa mwaka uliofuata ambapo kwa sasa ametimiza miaka 3.
ndugu yangu anacholalamika ni kuwa huyu mke wake alikuwa na tabia ya kuwa kila anapojisikia anarudi nyumba kwao hata akikatazwa na mume wake alikuwa hasiki wakiongea leo kuhusu hili kesho utasikia nipo nyumbani baadae ikabidi akubaliane na hali halisia.
uvumilivu huwa ulimuisha mwezi wa tatu pale mke wake alipooomba likizo kazini kwake na kumuumba mume we kuwa dada yake Dar anaumwa hivyo anaomba ruhusa ya wiki moja aende kumuuguza na alimkubalia kwa upendo wote.Ndugu yaangu kilichompata ni kuwa toka alivyooondoka huko hakurudi mpaka likizo ilipoisha na ariporudi amekuja moja kwa moja kwao nahivi ninavyoelezea haya yuko kwako.
ndugu yangu alijitahidi kufuyata taratibu zote za kujua hatima ya yote kupitia kwa washenga kwenda kuongea na wazaze wake kuonge na wasimamizi wa ndoa na sasa anategemea kwenda kwa paroko kujua hatma ya ndoa yake.
Zaidi ni maneno machafu anayoongea huyo mkewe kwa kumwambia kuwa hajawahi kuwa mume wake na kama alikuwa imekuwa ni historia na alimviazia akiwa kazini akaja nyumbani kuvunja nyumba nakuchukuwa vitu vyote walivyozawadiwa kwenye harusi na sendoff nakuvipeleka kwao.
ni mengi ya kuongelea hapa kutokana na maelezo ya rafiki yangu. Sasa kwa kuwa humu kuna waumini na wazoefu wa mambo haya naomba ushauri rafiki yangu afenyeje kunusuru ndoa yake yeye hataki ivunjike japo mke anaeema hatarudi na hataki kumsikiliza mtu yeyote.
kumbuka ni ushauri unaotakiwa hasa kwa wale walio waumini na wafahamu taratibu zote za kutengana hasa ndugu yangu anapotaka kuliwasilisha kwa paroko kama sehemu ya mwisho ya usuluhishi.
tarrifa yenyewe ni kama hivi ifuatavyo kama alivyonihusisha..
Yeye na mke wake walikuwa kwenye mahusiano kabla ya kufikia maamuzi ya kuwa mwili mmoja kwa muda wa miaka mitatu toka 2006 mpaka novemba 2008 ambapo waliamua kuhararisha mahusiano yao kwa kufunga ndoa ya kanisani na kubwa iliyopongezwa na watu wote walioshuhudia decemba 2008.
toka hapo ndoa ilikuwa ya raha na furaha tele pia wamejariwa kupata mtoto mzuri anayefanana nayo wa kiume ndani ya ndoa mwaka uliofuata ambapo kwa sasa ametimiza miaka 3.
ndugu yangu anacholalamika ni kuwa huyu mke wake alikuwa na tabia ya kuwa kila anapojisikia anarudi nyumba kwao hata akikatazwa na mume wake alikuwa hasiki wakiongea leo kuhusu hili kesho utasikia nipo nyumbani baadae ikabidi akubaliane na hali halisia.
uvumilivu huwa ulimuisha mwezi wa tatu pale mke wake alipooomba likizo kazini kwake na kumuumba mume we kuwa dada yake Dar anaumwa hivyo anaomba ruhusa ya wiki moja aende kumuuguza na alimkubalia kwa upendo wote.Ndugu yaangu kilichompata ni kuwa toka alivyooondoka huko hakurudi mpaka likizo ilipoisha na ariporudi amekuja moja kwa moja kwao nahivi ninavyoelezea haya yuko kwako.
ndugu yangu alijitahidi kufuyata taratibu zote za kujua hatima ya yote kupitia kwa washenga kwenda kuongea na wazaze wake kuonge na wasimamizi wa ndoa na sasa anategemea kwenda kwa paroko kujua hatma ya ndoa yake.
Zaidi ni maneno machafu anayoongea huyo mkewe kwa kumwambia kuwa hajawahi kuwa mume wake na kama alikuwa imekuwa ni historia na alimviazia akiwa kazini akaja nyumbani kuvunja nyumba nakuchukuwa vitu vyote walivyozawadiwa kwenye harusi na sendoff nakuvipeleka kwao.
ni mengi ya kuongelea hapa kutokana na maelezo ya rafiki yangu. Sasa kwa kuwa humu kuna waumini na wazoefu wa mambo haya naomba ushauri rafiki yangu afenyeje kunusuru ndoa yake yeye hataki ivunjike japo mke anaeema hatarudi na hataki kumsikiliza mtu yeyote.
kumbuka ni ushauri unaotakiwa hasa kwa wale walio waumini na wafahamu taratibu zote za kutengana hasa ndugu yangu anapotaka kuliwasilisha kwa paroko kama sehemu ya mwisho ya usuluhishi.