MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,014
- 16,749
Kura zipigwe na Sisi Wadau wa Soka au na Makocha au na Wachezaji wa zamani na siyo na Watendaji wa TFF waliokaa hapo Karume na Vitambi vyao kama Mapipa ya SIMTANK ndiyo Wachague / Watuchagulie Washindi.
Huwezi kusema kwa Magoli yote yaliyofungwa katika Msimu wa Ligi Kuu Goli la Fiston Mayele ndiyo Goli Bora.
Pamoja na kwamba nashabikia Simba SC, ila nadhani Goli bora ni lile la Kiungo wa Yanga SC Feisal Salum alilotufunga Simba SC au lile la Sakho au la Kichuya ila kamwe siyo la Mayele ambalo Kwangu Mimi naliona ni la Kawaida na hata Wadogo zangu wengi Magomeni, Temeke na Tandika katika Michezo ya Ndondo wanayafunga mno.
Msimu ujao tutachagua Wenyewe.
Huwezi kusema kwa Magoli yote yaliyofungwa katika Msimu wa Ligi Kuu Goli la Fiston Mayele ndiyo Goli Bora.
Pamoja na kwamba nashabikia Simba SC, ila nadhani Goli bora ni lile la Kiungo wa Yanga SC Feisal Salum alilotufunga Simba SC au lile la Sakho au la Kichuya ila kamwe siyo la Mayele ambalo Kwangu Mimi naliona ni la Kawaida na hata Wadogo zangu wengi Magomeni, Temeke na Tandika katika Michezo ya Ndondo wanayafunga mno.
Msimu ujao tutachagua Wenyewe.