Hayo ni mapito tu. Wanawake wengi wanakuwa na tabia tofauti wanapokuwa wajawazito. Tabia hizo zinaweza kutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke. Na umri wa mimba huwa na indicators tofauti ya tabia ya mwanamke unaotofautiana kati ya mwanamke na mwanamke na mimba na mimba.
Hebu weka utu mbele ndugu!uvumilivu,fanya mazoezi ya viungo,Mpende mkeo mutavuka ktk kipindi hiki cha mpito.acha kuwaangalia wadada wengine kwa tamaa kwani Mungu hapendi kabisa
Shukrani za Nguvu Ziwafikie Wadau woote, Hasa mliochangia huu uzi!
Nimeyapenda Mawazo yenu nyoote, na nimeshaanza kuyafanyia kazi, ila nilichoongeza ni vijizawadi vidogo vodgo, Na nashukuru mabadiliko yameanza kuonekana, hopefully mambo yatanyooka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.