dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,700
- 3,084
Heshima kwenu wakuu
Kwa wale walioko kwenye ndoa wanaweza wakanisaidia kwa hili, My wife wangu ni mjamzito wa miezi 6 sasa! Ingawa hii ni bahati nzuri lakini imekuja na changamoto nyingine, ukaribu wetu umepungua sana na visirani vimeongezeka! Haipiti siku mbili hatujakwaruzana, na hii imesababisha kupata haki yangu ya ndoa iwe kwa tabu, yaani ni mpaka nilazimishe ndo nipate na hata nikipata ni nafanya yangu namuacha kwa sababu hataki kabisa hilo tendo! kwa miezi yote hiyo nimevumilia nikijua atleast ikipita ile miezi mibaya (miez 4-5 ya mwanzo ) nitakuwa safe lakini hali inaendelea, sasa nivumilie mpaka ajifungue (atleast miezi mingine 5 mbele) au nitafute pa kupumzika!
Nauliza hivo kwa sababu, mosi hali yangu ni mbaya, pili situation hiyo imesababisha niwe karibu na wadada wengine ambao wametokea kunielewa na wako tayari kunisaidia kupitisha muda, (Its amazing lakini nafikiri wadada/wamama wanaelewa hili)
Tafadhali nishaurini kwa busara zaidi, Nitashukuru ikiwa nitapata msaada kutoka kwa wazee au wamama watu wazima ambao wanayajua haya na wameyapitia zaidi ya mara moja!
Natanguliza shukrani!
Kwa wale walioko kwenye ndoa wanaweza wakanisaidia kwa hili, My wife wangu ni mjamzito wa miezi 6 sasa! Ingawa hii ni bahati nzuri lakini imekuja na changamoto nyingine, ukaribu wetu umepungua sana na visirani vimeongezeka! Haipiti siku mbili hatujakwaruzana, na hii imesababisha kupata haki yangu ya ndoa iwe kwa tabu, yaani ni mpaka nilazimishe ndo nipate na hata nikipata ni nafanya yangu namuacha kwa sababu hataki kabisa hilo tendo! kwa miezi yote hiyo nimevumilia nikijua atleast ikipita ile miezi mibaya (miez 4-5 ya mwanzo ) nitakuwa safe lakini hali inaendelea, sasa nivumilie mpaka ajifungue (atleast miezi mingine 5 mbele) au nitafute pa kupumzika!
Nauliza hivo kwa sababu, mosi hali yangu ni mbaya, pili situation hiyo imesababisha niwe karibu na wadada wengine ambao wametokea kunielewa na wako tayari kunisaidia kupitisha muda, (Its amazing lakini nafikiri wadada/wamama wanaelewa hili)
Tafadhali nishaurini kwa busara zaidi, Nitashukuru ikiwa nitapata msaada kutoka kwa wazee au wamama watu wazima ambao wanayajua haya na wameyapitia zaidi ya mara moja!
Natanguliza shukrani!