Ushauri :ukikosa mkopo usiache chuo

kwanza kabisa nawasalimu wote wana JF dhumuni langu leo hii ni kuwaelezea wenzangu wanaoanza chuo kuhusiana na kukosa mkopo.ninachowashauri jamani hata ukikosa mkopo usiache kusoma jitaidi hata uuze chochote uende chuo ukasome then ukifika huko ukishaanza first year utaanza kupewa boom na kiasi kidogo cha ela unakata kwenye ada na mambo yanasonga coz wanatakaga ulipe ada nusu kwa semister si yote na inawezekana,ngoja nikupe ushuhuda mimi binafsi ni mwka wa tatu sasa nasoma chuo na sina mkopo na bado najitaidi kusoma ivo ivo nilivoowaambieni usikate tamaa kwasababu nafasi hii watu wanaitafuta sana na usiichezee....siku nilipokosa mkopo niliumia sana na niliona labda mungu hanipendi na nilienda chuo nikijua kua sitapewa hata boom na katika kuuliza uliza nikaambiwa hata asilimia zero wanapewa boom na kweli nikapata na sina toafauti yoyote na wanachuo wengine tofauti yangu ni silipiwi ada tu na ela ya field sipewi basiii na ninakaa nje na maisha yanaenda kama kawaida. lamuhimu ukiwa haujapata mkopo usije ukajichanganya na kula eti hotelini na kwenda club utapotea wewe nunua jiko loa gesi uwe unajipikia utaona maisha yatakavokua matamu na utang'aa kinoma na uwe na uhusino na watu vizuri coz siku ukiwa umefulia watakupiga tafu ni hayo tu WANDUGU

mkuu kama unapata mkopo asilia sifuri ni tofauti kabisa na nil kama ungekuwa na nil sijui ingekuwaje maana nil ni soo...
 
Nikipewa mkopo chin ya 70% chuo siend bora nifanye michongo mingine nikipata pesa ntasoma open.ajira yenyewe hailewek 2mejaza coz ambazo ha2jui future yake kisa priority alaf et nipewe mkopo mdogo niongezee 2 pesa alaf ajira ije inisumbue
 
okey sasa ni hiv...si kwamba ilikua ni ombi kama ulivyoelewa....naiman na ndo hivyo ilivyo hamna mahali nlishakashfu chuo humu JF,SASA UNACHOONGEA SIKUELEW....nimekwambia unionyeshe ni sehem gan unajing'ata....ila kama kuna sehem nliandika maneno hayo naomba unsamee...
na haya maneno ulivokua unaandika ulikua unamaanisha nin??????
ukiwa unapenda sifa kuwa mwepesi kukumbuka maneno yaku hamna thread ulikuwa unajisifia wewe ni engeneer mtarajiwa na ile ile thread mnakandia vyuo vingine nyie kama IFM .wewe na zeduduz01.mimi nilikuambia tu kama mdogo wangu hayo mambo sio watu wengi wanatoka kupitia huko mnakopaona feki nikumshukuru mungu kwa kile lichokupatia sawa!!!!masomo mema.
 
ukiwa unapenda sifa kuwa mwepesi kukumbuka maneno yaku hamna thread ulikuwa unajisifia wewe ni engeneer mtarajiwa na ile ile thread mnakandia vyuo vingine nyie kama IFM .wewe na zeduduz01.mimi nilikuambia tu kama mdogo wangu hayo mambo sio watu wengi wanatoka kupitia huko mnakopaona feki nikumshukuru mungu kwa kile lichokupatia sawa!!!!masomo mema.
daima ntasimamia nachokiamini...sijawahi kukandia chuo cha mtu yeyote hapa duniani!!! ulichosema nimekielewa na umeeleweka...sitaki kupoteza mda kubishana na wewe kwa mambo yasiyo na tija....ila kumbuka kushikisha akili yako unapoandika kitu...mda mwema...
 
nil without support bora utafute michongo ya kufanya maana kupata supp itakua kitu cha kawaida
 
Kuna huu ugonjwa 'no loan non-priority',yani hapo hakuna cha boom wala bomu
 
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...um/313188-wanaoiponda-ifm-ni-wendawazimu.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ungu-sijapangiwa-ifm.html?highlight=LORDVILLE

ANGALIA MICHANGO YAKO HUKO THEN TOA JIBU WEWE NA ze duduz01 WAZEE WA SUA MNAKWENDA SOMA KOZI ZA WAZEE HHAHA NA HIYO SIKU YAKO IHARIBIKE POTELEA MBALI

Oya Mkuu nimekukosea nini? Kwa Iyo mimi ni mzee kisa kwenda kusoma kozi niliyochagulia aya bhana tutakutana kwenye maisha tena itakuwa pouwa sana ukinipa ur contacts
 
Usiwashauri vibaya wenzako, Kama huna namna ya kupata pesa kabisa mimi nakushauri usiende chuo kikuu endapo utakosa mkopo. La sivyo utaishia kuwa kibaka, shoga au malaya.

Cha kufanya, nenda kasome fani yenye kuhitaji ada kidogo( kama Dip ya kufundisha), au katafute tempo za six leaver. Kusanya mtaji huko ili baadaye ujilipie ada chuo kikuu. Maisha ya sasa sio kama zamani huko chuo kikuu
 
Usiwashauri vibaya wenzako, Kama huna namna ya kupata pesa kabisa mimi nakushauri usiende chuo kikuu endapo utakosa mkopo. La sivyo utaishia kuwa kibaka, shoga au malaya.

Cha kufanya, nenda kasome fani yenye kuhitaji ada kidogo( kama Dip ya kufundisha), au katafute tempo za six leaver. Kusanya mtaji huko ili baadaye ujilipie ada chuo kikuu. Maisha ya sasa sio kama zamani huko chuo kikuu

usikurupuke ndugu,... Soma main post uelewe anamaanisha nini....
*0(zero)-loan ''''hulipiwi ada na field ila utapata subsitance money'''
*-(nil) hupewi hata thumni..
SO ANASEMAAA WATAKAOPATA ZERO WANAWEZA WAKAJIBANA WAKAPATA NA KAJIADA HUMOHUMO KWENYE HELA YA KUJIKIMU
 
Usiwashauri vibaya wenzako, Kama huna namna ya kupata pesa kabisa mimi nakushauri usiende chuo kikuu endapo utakosa mkopo. La sivyo utaishia kuwa kibaka, shoga au malaya.

Cha kufanya, nenda kasome fani yenye kuhitaji ada kidogo( kama Dip ya kufundisha), au katafute tempo za six leaver. Kusanya mtaji huko ili baadaye ujilipie ada chuo kikuu. Maisha ya sasa sio kama zamani huko chuo kikuu
NAKWAMBIA KWASABABU NINA EXPERIENCE ndugu yangu ushauri wako ni wakuua kabisa yaani tempo ndio upate ela ya ada daah thinking capacity yako ni 1.1mb
 
NAKWAMBIA KWASABABU NINA EXPERIENCE ndugu yangu ushauri wako ni wakuua kabisa yaani tempo ndio upate ela ya ada daah thinking capacity yako ni 1.1mb

Kijana maisha yanabadilika tangu zamani na ndio maana wewe huna mkia tena, sembuse utaratibu wa bodi? usidanganye watu wakapoteza muda na rasilimali kidogo walizonazo bila kufikia malengo. wewe thinking capacity yako no 6000GB. umenizidi mara ngapi?
 
usikurupuke ndugu,... Soma main post uelewe anamaanisha nini....
*0(zero)-loan ''''hulipiwi ada na field ila utapata subsitance money'''
*-(nil) hupewi hata thumni..
SO ANASEMAAA WATAKAOPATA ZERO WANAWEZA WAKAJIBANA WAKAPATA NA KAJIADA HUMOHUMO KWENYE HELA YA KUJIKIMU

Life and things have changed nowdays, take it from me
 
Kijana maisha yanabadilika tangu zamani na ndio maana wewe huna mkia tena, sembuse utaratibu wa bodi? usidanganye watu wakapoteza muda na rasilimali kidogo walizonazo bila kufikia malengo. wewe thinking capacity yako no 6000GB. umenizidi mara ngapi?
sipotezi muda wangu kubishana na wewe WE TOKA POVUUU ila habari ndio iyo
 
Back
Top Bottom