KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 880
- 327
Habari wakuu!
Kuna hili suala la uandikaji wa title za thread zetu naomba niliongelee kidogo. Mimi naamini kichwa cha habari kina uzito mkubwa sana tu katika habari husika, kichwa cha habari kinaweza kukushawishi uisome habari hiyo au kinaweza fanya usitake kabisa kujua kilichopo ndani kutokana na picha uliyoipata kwa kusoma tu heading.
Mda huu naoandika hapa kuna nyuzi/threads 2 zenye title msaada, inawezekana sio tatizo kwa mtazamo wa wengine lakini kwa mtazamo wangu hili linanitatiza. Kuna threads nyingi tu zenye title za aina hii, msaada, msaada wa haraka, naomba msaada, nisaidieni katika hili, mimi zinanitatiza kwasababu haujui zinazungumzia nini na kuzifungua au kutozifungua inategemea na mood yako kwa wakati huo.
Ushauri wangu;
Mi nashauri kuwe na prefix ya msaada then kwenye title mtu aandike anachohitaji kusaidiwa. Title kutokuwa specific ndio sababu kubwa ya kukuta thread imerudia kitu ambacho bado kipo current kinajadiliwa kwasababu mwenye tatizo hakuona hiyo title. Pia hata kufanya searching inakuwa shida kwasababu huwezi pata majibu ya unachohitaji kama ulitumia query ya topic.
Mfano huu wa title naona utatafaa zaidi Msaada Tafadhali: Keyboard Hai-respond..
Tilte ipo brief and specific, hii itatusaidi kupata response kwa haraka. Naomba wana jamvi tuliangalie hili jambo na kama linafaa basi tufanye hivyo kwa manufaa ya wengi.
Asanteni.
KXY.
Kuna hili suala la uandikaji wa title za thread zetu naomba niliongelee kidogo. Mimi naamini kichwa cha habari kina uzito mkubwa sana tu katika habari husika, kichwa cha habari kinaweza kukushawishi uisome habari hiyo au kinaweza fanya usitake kabisa kujua kilichopo ndani kutokana na picha uliyoipata kwa kusoma tu heading.
Mda huu naoandika hapa kuna nyuzi/threads 2 zenye title msaada, inawezekana sio tatizo kwa mtazamo wa wengine lakini kwa mtazamo wangu hili linanitatiza. Kuna threads nyingi tu zenye title za aina hii, msaada, msaada wa haraka, naomba msaada, nisaidieni katika hili, mimi zinanitatiza kwasababu haujui zinazungumzia nini na kuzifungua au kutozifungua inategemea na mood yako kwa wakati huo.
Ushauri wangu;
Mi nashauri kuwe na prefix ya msaada then kwenye title mtu aandike anachohitaji kusaidiwa. Title kutokuwa specific ndio sababu kubwa ya kukuta thread imerudia kitu ambacho bado kipo current kinajadiliwa kwasababu mwenye tatizo hakuona hiyo title. Pia hata kufanya searching inakuwa shida kwasababu huwezi pata majibu ya unachohitaji kama ulitumia query ya topic.
Mfano huu wa title naona utatafaa zaidi Msaada Tafadhali: Keyboard Hai-respond..
Tilte ipo brief and specific, hii itatusaidi kupata response kwa haraka. Naomba wana jamvi tuliangalie hili jambo na kama linafaa basi tufanye hivyo kwa manufaa ya wengi.
Asanteni.
KXY.