Katiba Mpya pia izuie Wabunge kuoana Kama ilivyotokea kwa Wazazi wako na Ubunge uwe na Kikomo kama Urais sio mpaka mtu anazeekea Bungeni kama Mzee Malecela.
Good point kuwa na muda maalum wa ubunge ni muhimu sana na vile vile viti maalum ni vya kufutiliwa mbali havina umuhimu wowote zaidi kama wadau waliopita wanasema jamvi la maovu tu (i.e. vimada). It is a wastage of my tax.