USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Hilo la mashangingi nalo utata ukikataa ndio mnazidi kuwapa hela za kuja kuchakachua 2010.Suti za mbagala jamaa hapo juu yuko sawa tusije sema tumetoa ajira za kitapeli kama mkwere za kufungua vizibo duh huyu jamaa katuona watanzania mbuzi kweli.Tupende bidhaa zetu zaidi isipokuwa kwa zile ambazo hazipatikani hapa kwa njia hii itaongeaza uzalishaji wa ndani hivyo ajira na mapato ya kodi yataongezekahivyo maendeleo ya kweli si kila siku kwenda ulaya kuomba omba tu.
 
Angalia ulivyokuwa mamluki!!! yaani vyote hivyo ni vidalili vya woga!!!! unaogopa nini!!!! unaogopa idadi ya wabunge????? tutakataa vp wakati tunatumia Katiba yenu ya 1977 iliyo mbovu??????? shame upon u[/QUOTE
waoga ni wale wanaolia wivu kila kitu cha wenzao....eti ohoo viti maalum havina maana kumbe mnavitaka muweke mademu zenu.....vikataeni sasa!

madrassa al sul
 
ndugu zangu wana chadema!
nawakumbusha kwamba mlikuwa mstari wa mbele kuvipinga viti maalum vya ccm na mkasema havina maana yeyote..........lakini kutokana na ushindi wenu mzuri viti vya ccm vitapungua kwa kiwango kikubwa na viti vya chadema vitaongezeka....
natumia nafasi hii kuwashauri mvikatae viti hivi maalum ili uwe mwanzo wa kukemea viti maalum na mkifika bungeni anzisheni hoja vifutwe
ongozeni kwa mfano wakuu!
ni ushauri tu...sio ugomvi
nawasilisha!

naona mnatapatapa :smile-big:
 
Habari za asubuhi wapenda maendeleo wenzangu,ninahamu ya kujua idadi ya viti maalumu bungeni inapatikana vipi,ukichukulia vigezo vilivyopo ikiwa pamoja na idadi ya kura za uraisi chama kitakazopata na pia idadi ya wabunge wa kuchaguliwa na wananchi kwenye chama husika.......
 
Katiba ya Tanzania ibara ya 66
66. Wabunge Sheria Na. 15 ya 1984 ib. 13; 4 ya 1992 ib. 18; 12 ya 1995 ib. 9; 3 ya 2000 ib. 9
(1) Bila ya kuathiri masharti mengine ya ibara hii, kutakuwa na aina zifuatazo za Wabunge, yaani–
(a) Wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi;
(b) Wabunge wanawake wa idadi inayoongezeka, kuanzia asilimia ishirini ya Wabunge waliotajwa katika aya ya (a), (c) na (d), itakayotajwa mara kwa mara na Tume ya Uchaguzi kwa taarifa itakayochapishwa katika Gazeti la Serikali baada ya kupata kibali cha Rais, watakaochaguliwa na vyama vya siasa vinavyowakilishwa Bungeni, kwa mujibu wa ibara ya 78, na kwa kuzingatia masharti ya uwiano wa uwakilishi baina ya vyama hivyo;
(c) Wabunge watano waliochaguliwa na Baraza la Wawakilishi kutoka miongoni mwa wajumbe wake;
(d) Mwanasheria Mkuu;
(e) Wabunge wasiozidi kumi walioteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye sifa kwa mujibu wa ibara ya 67, isipokuwa sifa iliyotajwa katika ibara ya 67(1)(b).
(2) Rais, Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar, kila mmojawao hatakuwa Mbunge.
(3) Endapo Mkuu wa Mkoa atachaguliwa kuwa Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi au endapo Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi atateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa, Bunge litahesabiwa kuwa lina idadi ya Wabunge inayohitajika na shughuli zake zitakuwa halali ingawaje idadi ya jumla ya kawaida ya Wabunge kwa mujibu wa masharti ya ibara hii, itakuwa imepungua kutokana na uchaguzi huo wa Mkuu wa Mkoa au uteuzi huo wa Mbunge anayewakilisha wilaya ya uchaguzi.
 
Nashukuru kwa jibu lako likiambatana na vifungu,ila iko kipengele chenye red hakijaweka wazi chama kimoja kinatakiwa kuwa na idadi gani? maana sheria nayo ni ngumu sana kueleweka...
 
Bunge lilokwisha CCM ilikuwa na idadi ya viti 80.Je kwa bunge lijalo watakuwa na viti vingapi kutokana na JK kupolomoka asilimia ya ushindi kutoka 84%- 61% Je cccm imekula kwao au ????
 
Nashukuru kwa jibu lako likiambatana na vifungu,ila iko kipengele chenye red hakijaweka wazi chama kimoja kinatakiwa kuwa na idadi gani? maana sheria nayo ni ngumu sana kueleweka...

Katiba yetu inaongea wazi kuwa Wabunge wa Viti maalum watachaguliwa kutokana na idadi ya wabunge wachaguliwa wa chama husika!

Kwa matokeo ya leo "CCM IMEKULA KWAO"maana kuna akina mama walitumia sana pesa kwenye chaguzi za kura za maoni huku wakitegemea kuwa CCM ingepata ushindi wa kimbunga lkn kinyume chake CCM italazimika kukata majina mengi sana ya wabunge wa viti maalum kwa kukosa nafasi!

Ni somo lingine kwa akina Mama wa CCM kuwa usitumie hela kwenye uchaguzi wa viti maalum maana sasa wapinzani wanaweza chukua jimbo ambalo wala walikuwa hawatarajii mfano kule Lindi Mjini na Kilwa na majimbo mapya Unguja yote kwa CUF,na CHADEMA ikachukua jimbo hadi Singida sehemu ambayo CCM huwa haishikiki!NCCR wameshinda majimbo si haba TZ bara,UDP ikitetea kiti chake Shinyanga na TLP ikiambulia nayo kiti kule Kilimanjaro!

Kwa mafanikio haya ya vyama vya upinzani kuna haja ya kuingia mitaani kushangilia ushindi wetu no matter what happened to Dr Slaa!
 
Kwa maana hiyo chadema wanaweza wakaingiza wabunge wa viti maalumu wangapi ktk bunge hil
 
The allocation mechanism of special seats changed again in 2005. The special seats are now distributed proportionally on the basis of the number of votes won by each party in the parliamentary election, not on the basis of the number of parliamentary seats won by each party.

Only parties that won "at least 5% of all valid votes for parliamentary election" can propose the names of specialseat candidates to the National Electoral Commission (National Electoral Commission 2006a:75). In a single-candidate constituency, "valid votes cast for presidential candidate of that party shall be used in determining that proportion" (National Electoral Commission 2006a:75).

"If a political party did not nominate a presidential candidate, 51% of the total number of registered voters in that constituency shall be used to determine that proportion" (National Electoral Commission 2006a:76). The electoral commission has the ultimate authority to appoint special seats candidates to be MPs. Only three parties met the 5 percent threshold in 2005, and seventy-five special seats were proportionally divided among those three (table 2).
 
JE VITI MAALUMU VYA UBUNGE HUWA KWA AJILI YA WANAWAKE TU? IWAPO SIO NASHAURI Dr. SLAA AINGIE P
 
Wana jf poleni kwa mihangaiko mbalimbali ya huko na kule, ninachotaka kuelimishwa ni kuhusu viti maalumu vya ubunge.

Je viti hivi ni mahususi kwa akina mama tu? Iwapo hapana kwanini dr. Slaa phd asipate kimoja aweze kutusaidia?
 
Edmund D,
Why NEC has such authority? That task should be left alone with the party to decides who should be appointed, It does not make any sense! This is continuation of dirty tricks against opposition. Is it possible for presidential candidates to be proposed by his/her party?
 
Malafyale,

Na wale wa CHADEMA ambao walitumia pesa zao mpaka uchaguzi ukaahirishwa huwaoni?

Ni kweli CCM itapata viti vichache kuliko ilivyopata mwaka 2005 lakini sio kwa tofauti kubwa sana. Huenda CCM ikapoteza viti kama 10 kutoka 58 ilivyokuwa navyo mwaka 2005.

Lakini CHADEMA nao watapata viti kama 20 wakati walipendekeza majina 105, kwao wataongeza viti zaidi ya kumi kutoka 6 vya 2005. Vinavyobaki, vitachukuliwa na CUF. NCCR, TLP na UDP hawatapata kwasababu ya kutokufikisha asilimia 5 ya kura zote za ubunge.

Bunge la mwaka huu halitakuwa tofauti sana na lile la 1995 kuhusu mgawanyiko wa wabunge. Ndio kuna maendeleo upande wa upinzani lakini sio makubwa kiasi kilichotegemewa, ni kama tumerudi pale tulipokuwa 1995.

Malafyale,
 
Jana kwenye tarifa ya habari ya TBC1 nilitega sikio kusikia list ya wabunge wa viti maalumu

Mwenye list kamili aiweke hapa jamvini

Nimesikia Vicky Kamata, Rose Kamili, Magreth Sita, n.k. n.k.

Am stunned sijamsikia Dr Batilda Burian (wahenga wasema ni mtu wa EL)
Kama ni kweli basi I think kutakua na beef kati ya JK na EL

Wenye habari kamili walete
 
Kwani kuwa mtu wa Lowassa ndio sifa ya kuwa mbunge wa viti maalum? Hivi ni lazima kuandika JF hata kawa huna la maana la kuandika? Acheni bana!
 
Batilda Burian alikuwa ni mgombea wa kiti cha Ubunge Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Kwanini uhoji kuwa hajakuwemo kwenye list ya Wabunge wa kuteuliwa?
Huwezi kuwa candidate kwenye nafasi 2 at a time.
 
Batilda. Arudi kwao zbar kwa mumewe. Ila nimesikia Godbless Lema atalipwa na CHADEMA aachie ngazi ili ufanyike uchaguzi mdogo na aingie Dr Slaa kugombea jimbo la Arusha mjini. Mbona patachimbika. Ila this time Slaa ndiyo atanyongwa kisawasawa. Siasa za kisanii a la Mbowe.
 
Back
Top Bottom