Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,550
- 491
Kwa muda mrefu sijachangia mada humu ukumbini lakini Leo nitachangia kidogo,
Kwanini mwalimu unakubali hasira zikutawale zaidi ya maarifa, ikiwa wewe mwalimu umekwenda mafunzo ya ualimu na umeshindwa kutumia elimu uliyonayo kumsaidia mwanafunzi na badala yake unatumia hasira tayari unajenga nidhamu ya uongo, wanafunzi hawakufika hapo kwa ajili ya adhabu wamefika hapo ili kupata elimu na mwalimu umeonesha upeo wako wa kusomesha ni mdogo, ni wajibu wa mwalimu kujua jinsi gani ya kumsaidia mwanafunzi sio kumuadhibu
Tatizo walimu wengi wanaotumia adhabu kama hizo, uwezo wao wa kusomesha ni mdogo na wanatumia adhabu kama njia ya kujikinga ili asitambulike au ana matatizo ya akili
Kwanini mwalimu unakubali hasira zikutawale zaidi ya maarifa, ikiwa wewe mwalimu umekwenda mafunzo ya ualimu na umeshindwa kutumia elimu uliyonayo kumsaidia mwanafunzi na badala yake unatumia hasira tayari unajenga nidhamu ya uongo, wanafunzi hawakufika hapo kwa ajili ya adhabu wamefika hapo ili kupata elimu na mwalimu umeonesha upeo wako wa kusomesha ni mdogo, ni wajibu wa mwalimu kujua jinsi gani ya kumsaidia mwanafunzi sio kumuadhibu
Tatizo walimu wengi wanaotumia adhabu kama hizo, uwezo wao wa kusomesha ni mdogo na wanatumia adhabu kama njia ya kujikinga ili asitambulike au ana matatizo ya akili