Ushauri: Serikali mrejesheni haraka mwalimu aliyesimamishwa kazi

Kwa muda mrefu sijachangia mada humu ukumbini lakini Leo nitachangia kidogo,

Kwanini mwalimu unakubali hasira zikutawale zaidi ya maarifa, ikiwa wewe mwalimu umekwenda mafunzo ya ualimu na umeshindwa kutumia elimu uliyonayo kumsaidia mwanafunzi na badala yake unatumia hasira tayari unajenga nidhamu ya uongo, wanafunzi hawakufika hapo kwa ajili ya adhabu wamefika hapo ili kupata elimu na mwalimu umeonesha upeo wako wa kusomesha ni mdogo, ni wajibu wa mwalimu kujua jinsi gani ya kumsaidia mwanafunzi sio kumuadhibu
Tatizo walimu wengi wanaotumia adhabu kama hizo, uwezo wao wa kusomesha ni mdogo na wanatumia adhabu kama njia ya kujikinga ili asitambulike au ana matatizo ya akili
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Weekend hii ni imani yangu kuwa bado mshahara haujaisha embu nenda kanywe hata KITOKO itatosha sana kukupa fikira mpya
 
Nikweli miaka ya zamani tumekula fimbo sana tu na mimi ni mmoja wa wanaopinga kabisa kufuta fimbo shuleni kwasababu zinamsaada mkubwa hasa kwa kizazi hiki,ila namna ya uchapaji kama ule haikubaliki kabisa,mwanafunzi aadhibiwe ila siyo kwa namna ile HAPANA.

ANGALIZO KWA WAALIMU
MIaka yetu sisi tulikuwa strong sana, tofauti na vitoto vya siku hizi,kutokana na mabadiliko mengi ya kimaisha,vitoto vingi ni dhaifu sana,kuweni makini jela zinawaita japo adabu havina kabisa ila ni spana mkononi.........
Kwa sasa wagonjwa ni wengi,lishe mbovu mwl asipokuwa makini anaweza kuua.
 
Ifikie wakati watu wakubali tu ukweli; kazi ya ualimu ni ngumu sana. Na kimsingi walimu wanatakiwa waishi kwa tahadhari kubwa.
Nakubaliana na wewe mkuu. Ila watu hawajui kabisa. Kwa sababu walimu kila watakavyofanya wakidhani wanatatua wanaangushiwa lawama.
 
Adhabu zotolewe kwa kuzingatia utu na haki za binadamu. Mwanafunzi ni binadamu kama binadamu wengine.
Hapo hoja sio viboko walivyochapwa bali ni sehemu ya mwili iliyotumika(miguuni) na kumkanyaga mtoto. hapo tu ndio kuna tatizo.

Nyayo za miguu zina uhusiano mkubwa na mapigo ya moyo. Na ndio maana mtu alipoteza fahamu unaambiwa umvue kwanza viatu nk. Lakini hata mtu binafsi ikiwa anajisikia uchovu fulani wa mwili, ikiwa amevaa viatu, akivua huhisi nafuu fulani! Hapana chezea nyayo wewe!Angemchapa sehemu nyingine ya mwili
Kuna dawa flan ukiwa unaumwa unashauliwa uiweke kwenye unyayo au upake mafuta kwenye unyayo na unapona.
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?
...........
Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Wewe una mamlaka gani hata utoe amri mwalimu mkuu 'alejeshwe' kazini haraka? Mara wazazi wengine fukuza mwalimu na hawa wengine rejesha mwalimu.

Kama wewe ulipigwa fimbo 50 na hukulalamika haina maana kwamba ilikuwa ni sawa. Haikuwa sahihi hata kidogo.
 
Kashasimamishwa na natamani apelekwe mahakamani halafu tuone nayo itaamua vipi.
Kama mzazi ni muwajibikaji na kweli una Nia ya kumfunza mwanao, basi hata Ile adhabu isingetokea. Ila kwa kubweteka na kutegemea kulelewa mtoto wako na mwalimu, ndio hapo zigo linakuwa halimithiliki kwa mwalimu, na mwalimu anafanya unyama.
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Yaani wewe ni pumba kabisa,hivi umeonana vile viboko vya unyayoni?vipi katka maisha yako ya shule uliwai kuchapwa viboko kwenye unyayo?
 
Tunaua kizazi cha sasa na kesho kwa sababu ya kuchekea chekea watoto.

Sisi mbona tulichapwa fimbo mpaka 50? Sisi mbona tuliteswa uko JKT baada ya kumaliza form six? Tulikufa au tulikuwa tunafundishwa Maisha?

Tunatengeneza taifa la mashoga kwa upumbavu wetu.

Shule ni amri kama ilivyo kwa police, wafungwa, maabusu, wauguzi, madakitari, wanajeshi na wanafunzi wanaishi kwa amri kwa sababu ndio maana ya unform zao wanazovaa.

Ukiambiwa kafanye hivi hakuna kuhoji popote.

Nyie mawaziri na wabunge na watetea mashoga acheni kuwakandamiza walimu wanaotengeneza kizazi cha kesho wakati watoto wenu wanasoma Feza schools.

Sisi watoto wetu ambao wanasoma kayumba wachapwe bakora wanyooshwe na kufundishwa Maisha.

Shule kwa Maisha ya kiafrika haitaki uzungu!!

Mwalimu mkuu arudishwe shule na ikiwezekana apandishwe cheo sio kushushushwa cheo lasivyo msije kuuliza wanafunzi watakapofeli in large mass!!!

Nipo bega kwa bega na walimu wote ambao wanataa adhabu za ziada kwa watoto.

Maana watu wote tuliofanikiwa tunajua faida ya bakora kuanzia Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, Samia ni zao la bakora tena za kutosha.

Watoto wa kishua waachieni elimu yao maana wao hata wakifeli mitaji ipo sisi watoto wetu wa kayumba Maisha wanafundishwa shuleni acheni wapigwe sitiki!!

Naongea kama mzazi mwalimu mkuu alejeshwe kazini haraka.
Zamani kulikuwa na uhaba wa walimu, tulikuwa tukihitimu kidato Cha sita tunaomba kwa muda kufundisha . Ukiwa mwanafunzi huwezi kujua shida ya ualimu, wengi tuliosoma vyoo, na maficho ya kuvutia Bangi kwa wanafunzi ni vitu vya kawaida sana. Kama hujasoma shule za umma au kufundisha shule za umma ambako usafi, ni WA mwanafunzi, maji ya usafi ni juu ya mwanafunzi, kupalilia eneo la shule ni juu ya mwanafunzi. Sasa kwa hizo shughuli zote ni wangapi wanapenda kufanya hizo kazi kiasi kwamba mwalimu aongee nao kama katekista wafanye hizo kazi kwa hiari bila viboko, Kuna wanafunzi wanapenda kufukuzwa shule, na kupewa adhabu ya kurudi kukaa nyumbani.

Ni shule za umma tu ambako mtoto anakuja shule baada ya mzazi kukamatwa. Rai kwa walimu wapunguze sana kufikiria mafanikio ya wanafunzi, kiasi kwamba u wanajitoa roho, mwili, na akili kulazimisha mwanafunzi afikie mafanikio.
 
Ingekuwa ni mtoto wako usingeharisha hapa, au wewe ndio mkuu unajitekenya mwenyewe. Hatuwezi kuruhusu mateso shuleni hizo zamani mulipokuwa munachapwa ndio mumezalisha makatili kama JPM mumtengeneza wasomi waoga leo kazi yao ni kusifu tu maprofesa wanaojiita chawa. Waache wanafunzi wasome kwa ku relax atakayefaulu ataendelea kurelax atakayefel mitaa itamtesa yeye mwenyewe
Sanamu lako liwekwe popote utakapopenda
 
Asantee karibu
Actually, hutakiwi kunishukru, ni pengine tu labda kwa sababu hujanielewa nilichomaanisha.
Nilichomaanisha ni kwamba, ningekuwa na mamlaka na wewe , ningekuchukulia hatua kali sana za kinidhamu; pengine kuzidi hata zile zilizochukuliwa kwa yule chizi mwenzako aliyeonekana akiwachapa watoto huku akiwa amewakanyaga miguu. Kwa hiyo unatakiwa ujihesabu kuwa wewe ni mtu mmoja mwenye bahati sana
 
Back
Top Bottom