Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 297
- 607
Wakuu naombeni ushauri wenu na mwongozo kutoka kwenu,
Nilikua naangalia baadhi ya coz nazo weza kujifunza online nikavutiwa na Mambo ya Coding japo kua Sina knowledge yoyote kuhusu computer.
Natamani sana nijue maswala ya code wakuu, nifanye nini niweze kujua .?
Mimi nipo kanda ya ziwa huku
Nilikua naangalia baadhi ya coz nazo weza kujifunza online nikavutiwa na Mambo ya Coding japo kua Sina knowledge yoyote kuhusu computer.
Natamani sana nijue maswala ya code wakuu, nifanye nini niweze kujua .?
Mimi nipo kanda ya ziwa huku