Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Check hii website inaitwa After school Africa kuna scholarships, intenships mbalimbali na various opportunities for African students
 
Nmepata mchongo wa kwenda japan na mwenyeji wangu kaniambia fursa za kazi kibao na nkifika natafutiwa mwanamke tunafunga ndoa napata kikaratas maisha mengine yataendela. Kwa mwenye uzoefu na inchi hiyo ningependa kujua mengi
Mh angalia Japan, usije ukaenda kujifunga.
 
tuonesheni wengine njia mkuu... hata kama ipo syria
Inategemea nchi gani unataka kwenda Ila Kwa Europe njia rahisi ni
unaweza kuapply viza ya Spain au Portugal (tourist visa)kupata kwake unaambatanisha barua ya kuonyesha kama umeajiriwa (unaweza ipata popote), hotel booking online incase haina invitation letter(booking ni bure), booking ya ticket ya ndege #bure#, ukipata unaweza safiri nchi zote za ulaya (Schengen) kasoro U.K
so unaweza amua kubaki au kwenda nchi nyingine unayotaka
Incase hujafanikiwa kupata visa pia kuna njia ya Georgia hii nchi haina visa na Tanzania unaweza ingia then ukachukua train mpaka Romania ambako ni karibu na Italy ukapiga mchongo wa kuingia italy ili uweze kwenda Germany or France or Swiss nk.
 
Watafutaji pia ingieni jukwaa la travel nairaland kule wana sticky nyingii za jinsi ya kujilipua namna ya kukabiliana na vikwazo vya kupata visa yaani wanajukwaa la travel lipo detailed sana kuanzia vyuo na nchi mbalimbali kama ijulikanavyo wale jamaa wapo kila kona. Waliopo nje wanatoa experience zao. Ushauri tu kwa yule anaetaka kweli kusonga huko.
 
Inategemea nchi gani unataka kwenda Ila Kwa Europe njia rahisi ni
unaweza kuapply viza ya Spain au Portugal (tourist visa)kupata kwake unaambatanisha barua ya kuonyesha kama umeajiriwa (unaweza ipata popote), hotel booking online incase haina invitation letter(booking ni bure), booking ya ticket ya ndege #bure#, ukipata unaweza safiri nchi zote za ulaya (Schengen) kasoro U.K
so unaweza amua kubaki au kwenda nchi nyingine unayotaka
Incase hujafanikiwa kupata visa pia kuna njia ya Georgia hii nchi haina visa na Tanzania unaweza ingia then ukachukua train mpaka Romania ambako ni karibu na Italy ukapiga mchongo wa kuingia italy ili uweze kwenda Germany or France or Swiss nk.
shukrani mkuu kwa hizi taarifa ulizo ziacha.... zitabaki kuwa kumbukumbuku kwa muda mrefu... kukiwa na maswali zaidi, msaada wako kwa ufafanuzi una itajika...
 
Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.

Mkuu lusungo nitumie mwaliko basi na mimi nijilipue!! Shule ishaisha huku!
 
Watafutaji pia ingieni jukwaa la travel nairaland kule wana sticky nyingii za jinsi ya kujilipua namna ya kukabiliana na vikwazo vya kupata visa yaani wanajukwaa la travel lipo detailed sana kuanzia vyuo na nchi mbalimbali kama ijulikanavyo wale jamaa wapo kila kona. Waliopo nje wanatoa experience zao. Ushauri tu kwa yule anaetaka kweli kusonga huko.
ngoja tuchimbe na huko.... sema tatizo la maraia wengi wa bongo... sio poa... hawataki kutoa njia, hawataki kuwa elekeza wenzao...

kuna video nili post jinsi wasyria wanavyo saidiana kuingia nchi za EU na wanavyo saidiana kupata passp' kwa wasio wasyria... na mambo kbao...

juzi kati nilipanda ndinga ya kutoka kampala kuja bongo... kulikuwa na madogo wa kiganda wana shuka SA... baada ya kumaliza skul na ajira home hamna... nika wauliza mmeaga home, wakanijibu yeah tumeaga, mna simu wakajibu hatuna tuna namba za simu za kuwa siliana na kaka yetu tukifika harare... na marafiki wengine... maana wame tuaidi kututafutia ajira huko ndio maana tuliweza kuondoka kwa kuaga...

walikuwa wana zinguana na ma utingo kwa kuwa hawajui swahili, wao ni kiganda na kizungu... kuna muda ina bidi kuwa saidia wanapo itaji msaada na ufafanuzi toka kwa wenye basi... walisafiri hivyo kwa purukushani, chakula chao ni mkate na maji na soda, maziwa kidogo...

hapa ndipo nilipo gundua dhana ya msafiri kafiri...!

nchi za africa waamiaji ni wengi sana tuna tafuta maisha bora na mambo mengine mengi... ndio maana una ona kila siku watu wana safiri kutoka eneo moja kwenda lingine iwe ndani au nje ya nchi... kwa sababu mbalimbali...

tusivunjane moyo... tusaidizane kupeana njia... na misaada mingine kama ina wezekana... lakini tatizo kubwa la wa tz ni kukatishana tamaaa na kujifanya wanajua hata kama hawajui... lengo ni kutaka kukatisha wengine tamaa...

pia wengi wao ni waoga, uoga wao wana jaribu kuupeleka kwa wengine na kusemaa au kuzani hwawezi kufanya jambo na kufanikiwa... ina sikitisha sana...
 
Back
Top Bottom