Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hizo namba za tz zote zilizowekwa ni feki, watu wanaopokea wengine wapo mbeya wengine wanasambaza mitungi ya ges, namba nyingine zimefungiwa. Hamna kitu hapo
Mkuu mbona majuzi tu hapa walikuwa wanatangaza kwenye redio ya clouds kwamba kuna fursa za kazi nchi za kiarabu hasa hasa Saudia tena na namba wakatoa, nadhani sio feki kama unavyosema
 
Mkuu mbona majuzi tu hapa walikuwa wanatangaza kwenye redio ya clouds kwamba kuna fursa za kazi nchi za kiarabu hasa hasa Saudia tena na namba wakatoa, nadhani sio feki kama unavyosema
Hizo zilizowekwa hapo kwenye hiyo thread hiyo uliyoiona
 
Mkuu mbona majuzi tu hapa walikuwa wanatangaza kwenye redio ya clouds kwamba kuna fursa za kazi nchi za kiarabu hasa hasa Saudia tena na namba wakatoa, nadhani sio feki kama unavyosema

Mkuu nenda jukwaa la kazi Wapo hao watu sio matapeli mkuu au nitupie no zao hapa
 
Samahani kama nimekukwaza ila naomba uheshimu pia maamuzi yangu.
Niexpose hapa nipo wapi wakati jina nimeficha ili iwaje? Ww unaona vzr kutumia true identity fine lkn Mimi Mara zote naficha.
Nivosema msaada sikumaanisha ntasema hapa, ningeshaandika Uzi wa kuomba najua wadau wapo ila nimejiwekea malengo mwakani nisaidie watu 7 maana naona watz tupo nyuma nadhan wengi hatuna taarifa kulinganisha na mataifa mengine.Mungu anisaidie.
kaka salm! naimani mwaka tumeuanza vyema.... naomba kukumbusha, na kukuomba ktk List ya watu 7 ulio aidi kuwasaidia mwaka huu... nami niwemo
 
Hizi issue za scholarships itabid tusaidiane sana
Rwanda hawaongei English but nowadays vijana wao wanatoka sana kusoma nje
Sisi watz tujitahid sana kuomba nafasi Mbali mbali
By tukifunga chuo early January 2018 nitafungua group la WhatsApp Kutoa maelekezo juu ya kuomba scholarship hasa Kwa hizi ninazofaidika nazo.
Itakuwa ni bure Maana sehemu Kubwa unafanya wew, Kwa sasa pana marafiki zang humu tunaelekezana Kimya kimya Ila mambo yanaenda vizuri.
Ni ajabu kusoma Kwa hela yako masters au PhD wakati unaweza kusoma bure kabisa na kupewa hela ya kuishi bila kudaiwa baadaye.
mkuu naomba kukumbusha January ndio hii 2018... tusaidiane... tukasome huko ughaibuni
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem

Ningependa kuwambia ndugu zangu Watanganyika kwamba dunia ya sasa maendeleo yamehama kutoka kwenye nchi zinazoongea kingereza na kuhamia kwenye nchi ambazo haziongei kingereza kwani dunia nzima robo tatu wanajifunza au wanajua kingereza na target yao ni kwenda kukaa nchi zinazoogea kingereza sasa utakuta nchi zinazoongea kingereza zimeshajaa wahamiaji kibao lakini niwape siri kubwa kuwa nchi zisizo ongea kingereza zinaitaji sana watu kwani watu wamekuwa wakienda kwenye nchi zinazoongea kingereza

MALCOM LUMUMBA



mkuu jeshi huwa wanaumri maalumu wa kujuunga au kwa ulaya ni tofauti
 
Kiongozi sikatai.

Maisha ni popote unaweza kutoka.

Lakini!?

ITALY!

Hapana.

Kipande kile kuanzia ITALY, UGIRIKI, UTURUKI, pande ngumu sana.

Pande zile wanaziweza wenyewe Wazee wa MADUDE

Mkuu Italy Kulikoni?
Mbona unatutisha?
Mbona nasikia Italy maisha Poa sana?
 
asylum-jpg.669605
 
Back
Top Bottom