jwhizzy
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 678
- 383
Ndio maana wa naigeria wanasema hyo ndio simple way ya kuingia nchi zenye asali sema visa kwa Tanzania wanatolea Egypt, south Africa, India na turkey au uende sengen countries ndio uombe visa mm naona bora uende Egypt au Athens.Lithuania inapakana na Poland na poland inapakana na Ujerumani,Isitoshe Poland ipo Muungano wa Ulaya.
Toka hapo mbele kwambele .
Au pale Estonia anachukua ferry Tallin to Helsinki , ni kama dar to zenj.