Ushauri kwa TCU na NACTE

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Aug 7, 2014
80,836
93,624
Nashauri TCU na NACTE wafanye haya:-

Warudishi mfumo wa mwanzo wa kudahili wanafunzi muda wowote kwa vyuo, kama ilivyo Open University of Tanzania na Jomo kenyatta University lakini udahili upitie TCU au NACTE hata kama ni mwezi wa 2 n.k.

Kuna tatizo mfano diploma wa OUT waliomaliza mwaka huu wameshindwa kuendelea na degree sababu transcript hazijatoka mpaka wafanye graduation ambapo ni mwezi wa 11, wananyima haki za watu na mwisho watu wanaichukia serikali kumbe ni watendaji ndiyo wana mwangusha Mhe Rais.

Sioni tatizo kudahili muda wowote kama ilivyokuwa zamani lakini masharti yazingatiwe kulingana na taratibu za TCU au NACTE. Pia najiuliza sasa TCU na NACTE watakuwa na kazi gani mpaka mwakani tena?

Tubadilike jamani.
 
Hata Nacte kuhusu application mfumo wao sio mzuri kabisa..wangeacha watu wakaomba mpaka mwezi october mwishoni atleast...kuna watu vyeti vyao bado vilikuwa havijatoka wengi tu na walihitaji kuendelea na masomo,ila nacte wameshafunga nafasi za maombi,kiukweli sio haki kabisa

Elimu Ndalichako anafanya anavyojisikia yeye na sio kwa kuangalia Demand ya watu..inauma sana

Nacte na TCU wacheni kuigeuza hii nchi ni ya majuha,tumechoka jamani
 
Yani wanavyofanya utadhani wao hawana watoto coz kunabaadhi ya vyuo hata supp bado na mtu anataka kuclear aendelee na chuo NACTE & TCU pamoja na profesa NDALICHAKO kuweni na subira na mioyo ya huruma
 
umeandika vzr ila hujainisha vp vya kuboresha, mfumo wa TCU na NACTE umesaidia tofauti mifumo ya awali ya udahili ila Kama kuna mapungufu tuwashauri watarekebisha ila kurudi mifumo ya awali sisapoti.
 
Yani wanavyofanya utadhani wao hawana watoto coz kunabaadhi ya vyuo hata supp bado na mtu anataka kuclear aendelee na chuo NACTE & TCU pamoja na profesa NDALICHAKO kuweni na subira na mioyo ya huruma
Nacte wasifanye udahili kabisaa maana tuliomba mwezi machi ambapo f6 hata mock hawajaanza lakini leo selection tayari zishatoka,but nacte hawaeleweki sijui shida inakuwa nini? Sijui uwezo mdogo?

Waziri haoni hayo?
 
Diploma sio kwa ajili ya kwenda kusoma degree sababu ya kuiweka ni kwaajili ya kazi vijana. Kwenda chuo mwaka huohuo uliomaliza ni msaada tu wa nacte kwa sabubu kazi zinakuwa shida kupatikana. Sasa mnavyofanya ni lazima utarudishwa ule mtindo wa zamani ukimaliza diploma uende kazini kwanza. Kwa hiyo hii mada haina mashiko hata.
 
Diploma sio kwa ajili ya kwenda kusoma degree sababu ya kuiweka ni kwaajili ya kazi vijana. Kwenda chuo mwaka huohuo uliomaliza ni msaada tu wa nacte kwa sabubu kazi zinakuwa shida kupatikana. Sasa mnavyofanya ni lazima utarudishwa ule mtindo wa zamani ukimaliza diploma uende kazini kwanza. Kwa hiyo hii mada haina mashiko hata.
Kwa sheria ipi, kifungu namba gani, kinachosema hivyo, je kwa tz au Ulimwengu mzima, kwani lengo hasa la elimu ni nn, maswali mengi ila umenichanganya
 
Kwa sheria ipi, kifungu namba gani, kinachosema hivyo, je kwa tz au Ulimwengu mzima, kwani lengo hasa la elimu ni nn, maswali mengi ila umenichanganya

Mitaala ya certificate na diploma haina kipengele kinachosema ukimaliza unaendelea na elimu ya juu. Ina seme ukimaliza utakuwa na uwezo wakufanya mambo fulani na si vingenevyo
 
Diploma sio kwa ajili ya kwenda kusoma degree sababu ya kuiweka ni kwaajili ya kazi vijana. Kwenda chuo mwaka huohuo uliomaliza ni msaada tu wa nacte kwa sabubu kazi zinakuwa shida kupatikana. Sasa mnavyofanya ni lazima utarudishwa ule mtindo wa zamani ukimaliza diploma uende kazini kwanza. Kwa hiyo hii mada haina mashiko hata.
Sio sababu ya msingi,jitahidi kufikiri kijana.
 
Diploma sio kwa ajili ya kwenda kusoma degree sababu ya kuiweka ni kwaajili ya kazi vijana. Kwenda chuo mwaka huohuo uliomaliza ni msaada tu wa nacte kwa sabubu kazi zinakuwa shida kupatikana. Sasa mnavyofanya ni lazima utarudishwa ule mtindo wa zamani ukimaliza diploma uende kazini kwanza. Kwa hiyo hii mada haina mashiko hata.
Acha upuu.. wewe
 
Hata Nacte kuhusu application mfumo wao sio mzuri kabisa..wangeacha watu wakaomba mpaka mwezi october mwishoni atleast
dogo acha kuongea upuuzi hayo ni matatizo ya chuo chenu na sio NACTE, NACTE ikisema application zianze mwezi wa nane inabidi chuo chenu kiwape mtihani na mpate matokeo kabla ya mwezi wa nane. we unasema mfanye application hadi mwezi october mwingine atakuja kuomba mfanye application hadi december wakati vyuo vimeshafunguliwa.
haiwezekani NACTE ifate matakwa ya kila chuo ila vyuo ndio inabidi vifate matakwa ya NACTE.
 
dogo acha kuongea upuuzi hayo ni matatizo ya chuo chenu na sio NACTE, NACTE ikisema application zianze mwezi wa nane inabidi chuo chenu kiwape mtihani na mpate matokeo kabla ya mwezi wa nane. we unasema mfanye application hadi mwezi october mwingine atakuja kuomba mfanye application hadi december wakati vyuo vimeshafunguliwa.
haiwezekani NACTE ifate matakwa ya kila chuo ila vyuo ndio inabidi vifate matakwa ya NACTE.
We fala kweli....kwa hiyo upuuzi ni kusema mawazo yangu?!mbona unaact as a smart sana wakati huna kitu..umekariri kila anayezungumza ni dogo eenh!! Nani amesema Application zianze mwezi wa nane?!usinilishe maneno ambayo sijazungumza...Kima wewe!
 
We fala kweli....kwa hiyo upuuzi ni kusema mawazo yangu?!mbona unaact as a smart sana wakati huna kitu..umekariri kila anayezungumza ni dogo eenh!! Nani amesema Application zianze mwezi wa nane?!usinilishe maneno ambayo sijazungumza...Kima wewe!
kama unatoa mawazo ya kipuuzi utaitwa tu mpuuzi mpuuzi we, hapo juu umeandika mwenyewe mpewe nafasi muombe vyuo hadi october mwishoni, we hujui kama october vyuo vinakua vimeshafunguliwa? upuuzi mtupu.
 
Wakuu taratibu tusigombane, tupeane ushauri kwa nia ya kuboresha. mfano nimetolea Open University of Tz ambapo wakuliwa wanadahili mpaka dec 31.
 
Back
Top Bottom