Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Miaka 29 unahangaika na jimama ambalo lilikwishaolewa na kuwa-widowed WHY?
Kama ni tamaa ya mali za marehemu mwambie aendelee; kama ni kutaka mke wa kuoa mwambie tamaa itampeleka pabaya!
........Mleta topic hakusema umri wa huyo mama, inakuwaje wewe unasema ni mama mwenye umri mkubwa kuliko huyo muoaji? Inawezekana huyo mama ana umri mdogo kuliko jamaa ndio maana jamaa anaona anamfaaa.
Vilevile huyo mama hakutaka kuwa mjane ila ni mipango ya Mungu tu kumchukua mumewe, inawezekana bado msichana tu.Ana haki ya kuolewa tena.