The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Nina rafiki yangu mwenye umri wa miaka 29 katika kuhangahika kwenye maisha ya mapenzi amefanikiwa kupata mwanamke ila huyo mwanamke aliishawahi kuolewa na akabahatika kuzaa mtoto mmoja bahati mbaya mume wa huyo mwanamke alifariki kwa ajali ya gari mwaka juzi huyu mwanamke alimueleza huyu kijana situation yote kwamba ana mtoto na aliishawahi kuolewa na mume wake akafariki ili afahamu mapema kabla hawajafika mbali huyu rafiki yangu hakuwa na tatizo na suala hilo.
Na kutokana kwamba amempenda akaona ni busara akimtambulisha kwenye familia yao bahati mbaya baba wa huyu kijana ameishafariki,mama yake yuko Mwanza mtu wa karibu ni kaka yake na shemeji yake,then walipanga siku akaenda akamtambulisha huyu mwanamke kwa kaka yake wala hakukuwa na tatizo lolote walimpokea vizuri yule mwanamke
Vile vile akaona itakuwa vizuri akimfahamisha na mama yake swala zima na hakutaka kumficha mama yake kitu chochote ingawa mama yake ameshtuka kusikia anamdate mtu ambaye tayari aliishawahi kuolewa "Akamuuliza kwani haujaona wanawake ambao wako single"? Inaonekana ni kitu amabacho mama yake akuexpect kutoka kwake ila baada ya mazungumzo marefu mama yake akamwambia kwa vile wewe ndiye unayeoa siwezi kukuingilia sababu that is your happiness ila cha muhimu ni kuhakikisha unafanya maombi na kumwomba mungu.
Sasa huyu kijana amekuwa na mawazo na amekuwa akijiuliza je ni kosa kumdate mtu ambaye tayari aliishaolewa na amekuwa akijiuliza imekuwaje ameangukia kwenye mapenzi ya mwanamke ambaye tayari aliishaolewa and not otherwise?
ANY VIEWS ON THIS...
Na kutokana kwamba amempenda akaona ni busara akimtambulisha kwenye familia yao bahati mbaya baba wa huyu kijana ameishafariki,mama yake yuko Mwanza mtu wa karibu ni kaka yake na shemeji yake,then walipanga siku akaenda akamtambulisha huyu mwanamke kwa kaka yake wala hakukuwa na tatizo lolote walimpokea vizuri yule mwanamke
Vile vile akaona itakuwa vizuri akimfahamisha na mama yake swala zima na hakutaka kumficha mama yake kitu chochote ingawa mama yake ameshtuka kusikia anamdate mtu ambaye tayari aliishawahi kuolewa "Akamuuliza kwani haujaona wanawake ambao wako single"? Inaonekana ni kitu amabacho mama yake akuexpect kutoka kwake ila baada ya mazungumzo marefu mama yake akamwambia kwa vile wewe ndiye unayeoa siwezi kukuingilia sababu that is your happiness ila cha muhimu ni kuhakikisha unafanya maombi na kumwomba mungu.
Sasa huyu kijana amekuwa na mawazo na amekuwa akijiuliza je ni kosa kumdate mtu ambaye tayari aliishaolewa na amekuwa akijiuliza imekuwaje ameangukia kwenye mapenzi ya mwanamke ambaye tayari aliishaolewa and not otherwise?
ANY VIEWS ON THIS...