Ushauri kwa kijana mwenzetu

Kwanza tutafute maana ya neno mjane ni nini. Mjane kwa kiswahili ni nini? Msije mkwa mnaongelea tu ooh mjane bila kuelewa. Tutafute maana yake kwanza ndo tumwite huyu dada ni mjane!
Nawasilisha
 
I'm saying it again: Kijana wa kiume kuoa mwanamke ambaye tayari alishazaa na mwanamume mwingine ni kuingia kwenye matatizo yasiyo ya lazima! Mwanaume lazima ufurahie uzao wako wa KWANZA! Kama una miaka 29 bado una nafasi kubwa ya kuingia "labor ward" kumuangalia "mwanamke wako" ambaye hajawahi kuingia mahala hapo.




Does that guarantee good marriage life? Future?
 
Kama anampenda kwa dhati, suala ya yeye kuwa mjane sio ishu. Kuna wanawake kibao wanaolewa kwa mara ya kwanza na ni magumashi tu! sasa ishu hapa sio yeye aliwahi kuolewa kabla, ishu ni kuwa kwa sababu alishawahi kuelewa kabla hafai kuolewa tena? Tena 'bahati nzuri' alifiwa na mumewe, je angekuwa ameachika ingekuwaje? kama umemdondokea, maliza kazi na mengine yatajulikana mbele ya safari.

umeniacha njia panda kaak/dada...kama hujali naomba unieleweshe.
 
Nifikirivyo na nijuavyo mimi ni Mwanandoa aliyefunga ndoa kihalali na kwa bahati mbaya akampoteza mwenzi wake wa maisha kwa kifo ila yeye yu hai na anaishi:confused2: ndiyo mjane
 
Nifikirivyo na nijuavyo mimi ni Mwanandoa aliyefunga ndoa kihalali na kwa bahati mbaya akampoteza mwenzi wake wa maisha kwa kifo ila yeye yu hai na anaishi:confused2: ndiyo mjane

Well said. Mimi cjui u dini gani ila tukirudi kwenye The Holy Bible, tunakatazwa kuwaita wanawake vijana waliofiwa na wwaume zao kuitwa wajane. Biblia inataka mwanamke aliye na umri usiopungua miaka 60 ndo aitwe mjane. Soma 1Timetheo 5:3-16
 
Kwa wale ambao hawana Biblia karibu soma mistari hapa chini na uweke kumbukumbu:

1 Timothy 5:3-16
5:3 Honour widows that are widows indeed. 5:4 But if any widow have children or nephews, let them learn first to shew piety at home, and to requite their parents: for that is good and acceptable before God. 5:5 Now she that is a widow indeed, and desolate, trusteth in God, and continueth in supplications and prayers night and day. 5:6 But she that liveth in pleasure is dead while she liveth. 5:7 And these things give in charge, that they may be blameless. 5:8 But if any provide not for his own, and specially for those of his own house, he hath denied the faith, and is worse than an infidel. 5:9 Let not a widow be taken into the number under threescore years old, having been the wife of one man. 5:10 Well reported of for good works; if she have brought up children, if she have lodged strangers, if she have washed the saints' feet, if she have relieved t[/SIZE
]he afflicted, if she have diligently followed every good work. 5:11 But the younger widows refuse: for when they have begun to wax wanton against Christ, they will marry; 5:12 Having damnation, because they have cast off their first faith. 5:13 And withal they learn to be idle, wandering about from house to house; and not only idle, but tattlers also and busybodies, speaking things which they ought not. 5:14 I will therefore that the younger women marry, bear children, guide the house, give none occasion to the adversary to speak reproachfully. 5:15 For some are already turned aside after Satan. 5:16 If any man or woman that believeth have widows, let them relieve them, and let not the church be charged; that it may relieve them that are widows indeed."
 
Nope....what's the definition of vivid?

1.strikingly bright or intense, as color, light, etc.: a vivid green.
2.full of life; lively; animated: a vivid personality.
3.presenting the appearance, freshness, spirit, etc., of life; realistic: a vivid account.
4. strong, distinct, or clearly perceptible: a vivid recollection.
5. forming distinct and striking mental images: a vivid imagination.
 
1.strikingly bright or intense, as color, light, etc.: a vivid green.
2.full of life; lively; animated: a vivid personality.
3.presenting the appearance, freshness, spirit, etc., of life; realistic: a vivid account.
4. strong, distinct, or clearly perceptible: a vivid recollection.
5. forming distinct and striking mental images: a vivid imagination.

So based on the above definitions it is fair to say that "vivid" does not collocate with "reasons". Case closed.
 
All:

I'm out of here - naona wengine mna-post mkiwa kwenye "sympathetic mode"!
hapana Baba Enock hakuna mtu aliye katika "sympathetic mode" ni majadiliano ya kawaida tu mimi naona kila binadamu ana haki ya kuoa na kuolewa ni sawa na wewe leo kwa mfano mkeo hakakutoka kimwili ina maana utakaa kuoa kwa kuwa tu ulishatumika na kuzaa na m/mke mwingine nadhani jibu ni hapana

Mungu ana malengo mengi tu kwa m/damu ndio maana amemwonyesha huyo mdada njia ya kuondokana na majonzi na ukiwa wa kufiwa na mme wake katika umri mdogo kwa kumpatia huyo kijana, ni wengi tu ktk jamii wanaoa wanawake ambao tayari wameshazaa wala sio kitu kigeni ktk maisha haswa nchi za nje wenye ndoa za mikataba cha muhimu ni kukubaliana na hiyo hali na kuendelea na maisha

yule dada tayari amefiwa na mumewe kwa bahati mbaya sasa tusije kugeuza kama mkosi kwake kwa kutoolewa tena. Hata dini zote zinaruhusu mjane au m/ume aliyefiwa na mkewe kufunga ndoa nyingine

nategemea "thanks" kwa post hii.............nawasilisha
 
hapana Baba Enock hakuna mtu aliye katika "sympathetic mode" ni majadiliano ya kawaida tu mimi naona kila binadamu ana haki ya kuoa na kuolewa ni sawa na wewe leo kwa mfano mkeo hakakutoka kimwili ina maana utakaa kuoa kwa kuwa tu ulishatumika na kuzaa na m/mke mwingine nadhani jibu ni hapana

Mungu ana malengo mengi tu kwa m/damu ndio maana amemwonyesha huyo mdada njia ya kuondokana na majonzi na ukiwa wa kufiwa na mme wake katika umri mdogo kwa kumpatia huyo kijana, ni wengi tu ktk jamii wanaoa wanawake ambao tayari wameshazaa wala sio kitu kigeni ktk maisha haswa nchi za nje wenye ndoa za mikataba cha muhimu ni kukubaliana na hiyo hali na kuendelea na maisha

yule dada tayari amefiwa na mumewe kwa bahati mbaya sasa tusije kugeuza kama mkosi kwake kwa kutoolewa tena. Hata dini zote zinaruhusu mjane au m/ume aliyefiwa na mkewe kufunga ndoa nyingine

nategemea "thanks" kwa post hii.............nawasilisha

Funzadume,

Hapa sijaona mtu ambaye anasema kuwa mwanamke aliyefiwa na mume hafai au hatakiwi kuolewa. Jamaa ameomba ushauri/maoni na ndiyo tunayompatia. Yanaweza kuwa sawa na alivyotegemea au kinyume. Binafasi nimeeleza na hata Baba Enock pia, kwamba ingekuwa vizuri mtu ambaye keshaonja maisha ya ndoa akampata mwenzie ambaye tayari naye keshapitia. Hao watakuwa kwenye level moja. Lakini katika hii case, hawa watu wako kwenye levels tofauti na kwa hiyo wana uzoefu totafauti. Inawezekana pia wanawazia mambo tofauti na wana mategemeo tofauti ingawa kwa sasa wote wanaona kwamba wanapendana. Mambo ya unyumba na ndoa ni magumu sana na kwa hiyo lazima utegemee tofauti kama hizi. Kwa sababu tumekulia katika mazingira tofauti, na uzoefu wetu, wishes zetu n.k vinatofautiana pia. Binafsi mwanangu akinijia na case kama hii nitasikitika sana ila sitamkataza. Nitajaribu kumweleza fika kile ninachokijua ili aweze kujua haswa haswa maana ya ndoa tena ambayo mmoja wao ana-score goli la pili. Kwa hiyo huo ni ushauri wetu kwa mleta mada ukizingatia hata mama yake huyo kijana hakuzipokea taarifa za uhusiano wao kwa mikono miwili. Pia hadi kulete hii mada hapa, huyu kijana inawezekana ameanza kuwa mbayu wayu na amini usiamini baada ya haya mawazo ya wadau, he will never be the same as he used to be.
 
inawezekana akaoa huyu mwanamke na wakaishi maisha mazuri sana kuliko eti kutafuta ambaye hajapata mtoto unless labda amkute bado bikira.Na hiyo si guarantee (kwenye biblia kuna mfano wa wanawali werevu na wapumbavu lakini wote ni wanawali!) huo ni mtazamo mmoja wa mwili what about other factors elimu au at least thinking+reasoning capacity, love chemistry,upendo kwa wote etc. Nashauri kijana afuate moyo wake na kufikiri kidogo na pengine avute subira kidogo amuombe Mungu kupata shauri lililo jema.
 
The Finest:

Pole-pole:

Hakuna kitu kigumu kama kuwa "Baba wa Kambo"!
Baba Enock point of correction, hakuna kitu kama baba/mama wa kambo. Tafakari vizuri hii dhana utaona kuwa hakuna kitu kama hicho. Ni mazoea tu ya kutumia maneno kulingana na makuzi
 
Back
Top Bottom