tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 494
- Thread starter
- #181
humu jf vichwa vichache sana many people hide bound!!!Yaani maandishi yako tu unaonekana ulivyo wa Mitaani na tapeli watu wana vichwa humu jamii sio kuleta porojo
humu jf vichwa vichache sana many people hide bound!!!Yaani maandishi yako tu unaonekana ulivyo wa Mitaani na tapeli watu wana vichwa humu jamii sio kuleta porojo
wewe mke wa mkuu mkuu wa nini nadhani ni mkuu wa wapuuziihumu jf vichwa vichache sana many people hide bound!!!
mniwie radhi mada hii imefika page ya saba na wala sikuiona....nashukuru kwa kumgundua huyu mdanganyifu...
Natafuta kazi Petro station manager
Started by tamimusalim, 20th July 2014 22:00
kaka linabwia mafuta hiloooooo mi naona tutasumbuana kaka
View attachment 176452Sasa hii ni miongoni mwa nyumba zangu ambayo ipo maeneo ya sakina arusha ,sikai anakaa mlinzi nilikuwa nimeifanyia ukarabati kwa minajiri ya kuiuza lakini nimeghairi Poleni wapinga madevelop yangu, mwisho nawauliza who am i? Jibu.....
View attachment 176084
Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.
Tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.
Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.
hii thread ya zamani imerudi tena,? Bc wana jf kazi kwenuUtakuwa mhaya
View attachment 176084
Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.
Tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.
Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.
View attachment 176084
jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.
tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania.
Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota rav4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka subaru forestar turbo sti ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.
hii thread ya zamani imerudi tena,? Bc wana jf kazi kwenu
Story nzuri, nimeipenda. Hongera sana kaka mkubwa.View attachment 176084
Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.
Tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.
Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.
Ngoja niende nikajichungulie nimesahau jinsia yangu
kaka linabwia mafuta hiloooooo mi naona tutasumbuana kaka