Ushauri kuhusu malipo ya walimu mwanza.

JALUO

Senior Member
Jun 4, 2011
168
45
Ndugu wanasheria naomba ushauri,inakuaje kwa mfanyakazi wa umma aliyekamilisha zaidi ya miaka minne kazini akitaka kwenda shule..,serikali haipaswi kumlipia licha ya sababu za hapa na pale za serikali kuwa hawana fungu???&nbsp;<br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;Sie tuko jijini mwanza ni walimu tulioamua kwenda kusoma..lakini tulipo hitaji ruhusa tulilazimishwa kujikomit kuandika kua <u><strong>TUTAJILIPIA GHARAMA ZOTE ZA MASOMO.</strong></u>ulifanya hivyo tukaenda masomoni na kusoma kwa kujilipia lakini baada ya mda tukafunguka macho na kumfata AFISA ELIMU nae aliamua kulip<strong>a TSH 200000/=</strong> <strong>Kwa kila mwanachuo anaesoma SAUT</strong> na <strong>TSH 400,000/=Kwa wale wa UDOM na vyuo vingine hawakupewa hata shilingi 1</strong>,&nbsp;<br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;Baada ya kuhitimu chuo tukagundua kua,kumbe hawa mabwana hapa jijin<strong>&nbsp;MWANZA&nbsp;</strong>hua wanalo FUNGU ILA TU NI URASIMU NA WIZI WAO.Sasa serikali ilitangaza kua walimu waorodheshe madai yao na WATALIPA,,,nasi kama kundi la walimu tulijumuika kuorodhesha madai na maoditor wasio pungua 8 wakasign madai yetu kua tunapaswa kulipwa na january hii serikali ikapeleka pesa ktk halmashauri na majiji yote ili kutekeleza ahadi yake ya kuwalipa walimu.<br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;Ulipowadia muda wa kulipa wakaja na madai ya kufanya tena uhakiki upya wakati HAZINA ilishatuma fungu na kusema pesa hzo zilipwe kuanzia tarehe 09 jan. mpaka 15 jan, 2012.mpaka leo nnapopost hii link bado uhakiki unaendelea na kwa walimu walioenda masomoni wanadai kua hatupaswi kulipa kwani tulijicommit lakini nina maswali ya &nbsp;kisheria kama ifuatavyo:<br><u><em><strong>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;1.kwanini walisign fomu zetu kua watatulipa na kupeleka majina HAZINA ILI KUYAOMBEA PESA??Na baadae wageuke tena?</strong></em></u>?<br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; <strong><em>2.Hivi kama walikua hawana pesa na tulipaswa kujilipa kama tulivyojicommit kwanini walitoa zile laki 2 kwa SAUT na laki 4 KWA UDOM kwa kila mwalimu aliyekua masomoni kwa hivyo vyuo??na huo ulipaji si kweli kwamba walivunja ule mkataba wa awali tuliojikommit kwa kulazimishwa??</em></strong><br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;<u><em><strong>3.JE,huu si wizi kwakugawa pesa za serikali bila vikao maalum kwani tunaona UDOM wanapata laki 4.SAUT laki 2,tutathibitishaje uhalali wa huo mgao?JE,si kwamba walikua na pesa nyingi zaidi za kuwasomesha walimu na walizila ndo maana wakagawa bila equal ratio??hatupaswi kuhoji hili na TAKUKURU ikaingilia kati??<br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; 4.kwakua JIJI LA MWANZA &nbsp;halina utaratibu wa kuwasomesha walimu ingawa mafungu yanatumwa na imebainika kua ni maofisa wachache tu ndo ulipwa hizi pesa za masomo,,hapa hakuna class&nbsp;prev-allege kwa MAOFISA PEKEE???</strong></em></u><br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;&nbsp;<strong><font size="3"></font></strong><br>&nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp; &nbsp;<u><em><strong> NAWAKILISHA NAOMBA MABINGWA WA SHERIA MTUSAIDIE TUIPATE HAKI YETU</strong></em></u>
 
Mkuu unaweza ukaiandika tena thread yk, manake naona maandishi hayaeleweki eleweki kwenye simu yng. Au sim itakuwa na matatizo, labda waje wengne wataielewa.
 
Back
Top Bottom