supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,941
Yamtokayo mtu mdomoni ndo yaliyopo akilini mwake. Wewe kubali tu umeachwaSijaachwa jamaniiii
Yamtokayo mtu mdomoni ndo yaliyopo akilini mwake. Wewe kubali tu umeachwaSijaachwa jamaniiii
HahahhhYamtokayo mtu mdomoni ndo yaliyopo akilini mwake. Wewe kubali tu umeachwa
umewahi kuachwa? au wewe ndo unaacha?Mwambie wapo wengi
Ni kweli, ila kipofu asimwongoze kipofu mwenzke.
Ulimwenguni hapa ni vizuri kujifunza na tunajifunza kwa kiasi kikubwa kutokana na mawazo ya watu wengine kwaiyo sioni ubaya pia kujifunza juu ya suala hilo kutok kwa hao waadishi.
kuna maisha baada ya kuachwa
Only time can heal broken heart
Hii comment ni kweli tupu..Mkuu hakuna anayeyajua mapenzi na asikudanganye mtu.Kama ukipata hayo makala jifunze lakini usiyatilie maanani sana...Writers of those journals, most of them are losers of the highest order as long as Love is concerned.