kwa anayefahamu jamani naombeni mnisaidie juu ya hili, kwa waliomaliza form six mwaka huu 2014, principle inaanzia ngapi D au C? na je kama mtu katika matokeo yake amepata grades CDE kwa matokeo ya mwaka huu anaweza kujinga na diploma au degree?
Principle inaanzia D so kwa alama hizo unaweza kabisa kujiunga na degree mfano wapo jamaa zangu wana div 4 but wana DD kwenye masomo lakini wamepigwa Mkwawa na Ruaha universities.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.