Ushauri jaman, sijui nirudi kijijini

habari zenu wana JF naombeni ushauri, mimi ni bint wa miaka 24 mzaliwa wa shinyanga ila kwa sasa naishi arusha, naombeni ushauri maisha yamekua magum nilikuja arusha kutafuta kazi kutokana na hali ngum niliyokuwepo nayo nyumbani, nilipofika nikapata bahati nikapata kazi banana investment nimefanya kazi kama mwaka mmoja hv, badae tukapunguzwa, nimetafuta kazi mapaka nimechoka jamn nimepanga chumba kodi imeisha nifanyeje nawaza kurudi nyumban lakini kila nimwambia mama narudi nyumban sukari na presha vinapanda sijui nifanyeje guys naombeni ushauri dunia chungu, usiku usingizi sipati nalala saa 9 naombeni ushauri ndugu zangu
Ulimhola ilumbuye? Nicholage kupm
 
Pole dada. Diploma in Journalism?unakosa kazi?Uli pass?lugha unazijua?Uko tayari kufanya kazi kima cha chini kiasi gani?Humu Tz kazi nyingi ila malipo madogo,kurudi kijijini si bora utafute kazi ambazo utaweza kuzifanya kwa ujira mdogo huku ukitafuta kazi?huku unamueleza ukweli mwajiri wako kuwa napokea eg 50 elfu kwa mwezi lakini natafuta kazi siku nikipata naomba niondoke,hapo utakuwa unakula bure,unalala bure?nilimsifu driver aliyefukuzwa kazi akawa house boy excellent,lakini wakijua kuwa ataondoka siku yoyote lakini alikuwa na uhakika wa kulala na kula bure mpaka akapata kazi ya UN salary >650,000. Wewe kijijini unaweza kuwa kiongozi wao lakini ukifika mjini kurudi shamba si busara sana.
 
Je kwel uko serious maisha yamekuwa magumu au unatest watu? Ujue nami nimepita uko uko najua ugumu wa kutokuwa na lolote,uwa hali ni shari. Yalinipata nikiwa dar yan mpaka leo mtu akisema ivo uwa najisikia kiwewe. Mungu niepushe nisirudie uko. Ushauri: usirud kijijin uko hali ni mbaya zaidi. Msaada: ukiendelea kukwama unipm nijaribu kukusaidia ila kama kwel una shida ucjekuwa mpelelez. Nyumba niliyopanga ina chumba sikitumii,kama ukikwama uje nikusaidie. Pole sana
 
rudisha mpira kwa golikipa kuanza upya si vibaya,wewe nenda nyumbani mwambie mama uko likizo akiuliza tena unampiga kamba
 
Acheni jokes over a desperate situation. She is serious na ameamua kufunguka kwa kadri anavyoweza.
Kama una msaada wa karibu aidha Moshi au Arusha umsaidie. na sio kumdhihaki na kumpa ushauri ambao hata we mtoaji huwezi kuufatisha na kufanikiwa nao.
Dada yangu Jack 1 nakushauri jitie moyo na umtafute Mungu maadam anapatikana. usipoteze tumaini hata kidogo. Chukua hatua moja baada ya nyingine. Mungu akutangulie na kukufungulia milango.
Punguza mawasiliano na mama nyumbani inavyoonekana kwa hali yake haitaji kusikia negative news toka kwako kwani zinamuumiza sana ndo maana unasikia presha ikimpanda.
Mungu anasikia kilio chako. Fungua moyo wako na umuombe kwa dhati na kumaanisha. Kuna sala zinazojibiwa haraka amini na itakua hivyo.
I hope this message finds you in time.
Ubarikiwe
 
Acheni jokes over a desperate situation. She is serious na ameamua kufunguka kwa kadri anavyoweza.
Kama una msaada wa karibu aidha Moshi au Arusha umsaidie. na sio kumdhihaki na kumpa ushauri ambao hata we mtoaji huwezi kuufatisha na kufanikiwa nao.
Dada yangu Jack 1 nakushauri jitie moyo na umtafute Mungu maadam anapatikana. usipoteze tumaini hata kidogo. Chukua hatua moja baada ya nyingine. Mungu akutangulie na kukufungulia milango.
Punguza mawasiliano na mama nyumbani inavyoonekana kwa hali yake haitaji kusikia negative news toka kwako kwani zinamuumiza sana ndo maana unasikia presha ikimpanda.
Mungu anasikia kilio chako. Fungua moyo wako na umuombe kwa dhati na kumaanisha. Kuna sala zinazojibiwa haraka amini na itakua hivyo.
I hope this message finds you in time.
Ubarikiwe


asante sana kwa ushauri naimani ipo siku mungu atasikia kilio changu
 
Je kwel uko serious maisha yamekuwa magumu au unatest watu? Ujue nami nimepita uko uko najua ugumu wa kutokuwa na lolote,uwa hali ni shari. Yalinipata nikiwa dar yan mpaka leo mtu akisema ivo uwa najisikia kiwewe. Mungu niepushe nisirudie uko. Ushauri: usirud kijijin uko hali ni mbaya zaidi. Msaada: ukiendelea kukwama unipm nijaribu kukusaidia ila kama kwel una shida ucjekuwa mpelelez. Nyumba niliyopanga ina chumba sikitumii,kama ukikwama uje nikusaidie. Pole sana

kwann nitanie jaman maisha ni magum sana mpaka nashindwa hata nifanyeje
 
Pole dada. Diploma in Journalism?unakosa kazi?Uli pass?lugha unazijua?Uko tayari kufanya kazi kima cha chini kiasi gani?Humu Tz kazi nyingi ila malipo madogo,kurudi kijijini si bora utafute kazi ambazo utaweza kuzifanya kwa ujira mdogo huku ukitafuta kazi?huku unamueleza ukweli mwajiri wako kuwa napokea eg 50 elfu kwa mwezi lakini natafuta kazi siku nikipata naomba niondoke,hapo utakuwa unakula bure,unalala bure?nilimsifu driver aliyefukuzwa kazi akawa house boy excellent,lakini wakijua kuwa ataondoka siku yoyote lakini alikuwa na uhakika wa kulala na kula bure mpaka akapata kazi ya UN salary >650,000. Wewe kijijini unaweza kuwa kiongozi wao lakini ukifika mjini kurudi
shamba si busara sana.


kila media nayoomba wanasema nijitolee kwa miez sita sasa najiuliza hiyo miezi sita unakua unakula nn, naul ya kazini, chakula bado inakua ningum pia kwangu
 
Nakushauri ujitolee. Ni bora kuliko hiyo kodi uliyomalizia umelala ndani. Ofisi nyingi zina michongo ya kupata chai. Ukienda kufanya kazi na intern ama.volunteer ni kawaida lunch kumlipia na pengine kumpa buku 10 ya nauli. Hakuna urahisi wa maisha popote, watu wakikusimulia waliyopitia humu utachoka mwenyewe.
Katika kujitolea utakutana na watu, utasoma magazeti bure na net ya bure pia. Jikakamue mama, ili mradi hauna tamaa utatoka tu.
kila media nayoomba wanasema nijitolee kwa miez sita sasa najiuliza hiyo miezi sita unakua unakula nn, naul ya kazini, chakula bado inakua ningum pia kwangu
 
habari zenu wana JF naombeni ushauri, mimi ni bint wa miaka 24 mzaliwa wa shinyanga ila kwa sasa naishi arusha, naombeni ushauri maisha yamekua magum nilikuja arusha kutafuta kazi kutokana na hali ngum niliyokuwepo nayo nyumbani, nilipofika nikapata bahati nikapata kazi banana investment nimefanya kazi kama mwaka mmoja hv, badae tukapunguzwa, nimetafuta kazi mapaka nimechoka jamn nimepanga chumba kodi imeisha nifanyeje nawaza kurudi nyumban lakini kila nimwambia mama narudi nyumban sukari na presha vinapanda sijui nifanyeje guys naombeni ushauri dunia chungu, usiku usingizi sipati nalala saa 9 naombeni ushauri ndugu zangu

kurudi nyumbani ni sawa na kurudi hatua kadhaa nyuma, kazana kutafuta kazi usichoke, kama imeshindikana kabisa rudi nyumbani uanze upya.
 
pole sana lakini wazo lako la kwanza ni sahihi rudi kwanza nyumbani ujipange aikudanganye mtu kijijini sio kubaya kivile kama unashule kidogo huwezi kukosa cha kufanya ukapata kitu. rudi kwanza kuna hela za vikundi vya uasilia mali nyingi ukijishusha unaweza kuwa mbali kuliko hiyo kazi uliyokuwa unafanya.
nipo kijijini na maisha yanakwenda na kazi sina lakini nabangaiza sikosi buku tatu kwasiku si haba lakin kikichanganya wakati mwingine mpaka 100,000 kazi kwako.
kawahi hata ardhi ili ikipanda thamani ije ikutoe na zaidi kajifunze kwa wageni wamefata nini kijijini kwenu na wanafaidikaje na wakuwaje kabla ya hapo
jiamini mamaaa unaweza
 
pole sana dada Nayajua maisha ya kigheto gheto yalivyo kuwa magumu kama huna sehemu itakayo kufanya uweze kuendelee kuishi mjini. Swala la kwenda kijijini inategemeana mda mwingine unaweza kwenda kijijini ndo kwanza unakuwa umepoteza mwelekeo kabisa coz kuna vijiji vingine vinaweza kuwa hakuna huduma muhim ambazo zitakufanya uweze kuendelea na michakato yako ya kutafuta kazi sasa sielewi huko kijijini kwenu kukoje katika huduma ambazo zitakufanya uzidi kutafuta kazi halafu unaweza kwenda kijijini halafu swala la nauli ya kuja mjini kama kutakuwa na mchongo ikawa kitendawili tena coz hapo tayali umesema familia inakutegemea sasa ukirudi huko kijijini itakuwaje na kama utaweza kumudu sawa lakini mm naona kama unakuwa umekufa kifo kitakatifu hata kama kuishi mjini nako kunakuwa na changamoto sana any way nazijua sana shida coz nimezaliwa na shida na nimekulia kwenye shida ukishindwa kabisa na huna jinsi NI PM nitaangalia jinsi ya kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom