- Thread starter
- #101
Kama wana baraka zote za chama hakuna shida mapambano yanaendeleaVipi kama wana baraka zote za chama na chama kimeona kipate ruzuku kupitia wao?
Kama wana baraka zote za chama hakuna shida mapambano yanaendeleaVipi kama wana baraka zote za chama na chama kimeona kipate ruzuku kupitia wao?
Hizo ngonjera peleka CCMNi vigumu kuwafukuza kwani mbowe kala Rushwa tokea CCM kauza chama na dalali wa mchongo kala chake tayari ni pesa ndefu imetumika kufanikisha hilo, pesa iliyotumika ingeweza kujenga viwanda zaidi ya 100 na Hosptal za rufaa kibao lakini ccm kwa hofu ya vikwazo vya kimataifa wameamua kuitumia kuwanunua chadema wapenyeze wabunge ili bunge lionekane ni bunge la ki demokrasia huku kwenye vile viti 10 vya Rais atamteua chadema mwanaume mmoja pia
Ni baada ya kuona upinzani hauna tija,unapingaje hata lililo jema kwa wananchi wako. Kizuri kiwe kipi? Kwendeni zenu huko, mmejawa na makelele tu na bado.Chama makini kinaweza kufanya ujinga wa kutupa kilioufanya kwenye uchaguzi mkuu .
Kuna uwezekano hata wakifukuzwa uanachama ndugai akawalinda waendelee kihudhuria bungeni, ref yule mbunge alievuliwa ubunge lakini ndugai alimkingia kifua na aliendelea kuhudhuria bunge
Si wameenda kwa baraka za chama?
Sasa wafukuzwe sababu gani?
Hizo ngonjera peleka ccmMbowe kala cha juu ndipo akawapa ruksa kwenda Dodoma
Ngonjera hizo peleka CCMMbowe kauza utu bila Aibu kisa ruzuku tu
Huzi ngonjera peleka CCMWengi wenu mnaropoka na kucoment bila kubalance story,upande wa halima hamjui kitu,upande wa ccm hamjui lolote na upande wa chadema hamjui pia.
Hivi siku mkija kufahamu kuwa wabunge wa upinzani wote ni mapandikizi ya usalama mtaficha wapi sura,mkae kwa kutulia ccm ni chama makini na hakishindwi kitu.
Kwakwakwakwakwakwakwa! Jamani mbavu zangu, jamani mbavu zangu, jamani mbavu zangu ehehehehehehe!Endelea kuota ndoto za mchana Kama hizoooo
Unapambana na naniKama wana Baraka za chama hakuna shida mapambano bado yanaendelea.
Kawaida yake, wala usishangae.Mbona huyu binti ana lugha ya kihuni sana...☹️☹️
Yaani hii sio lugha y kiuongozi..😎😎
Taarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
walivyokuomba ukaandamane ulijitokeza! Uliwavunja moyo pia wacha wafanye itakavyowafaa.Taarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Inawezekana hata majina wamepanga kina Ndugai .Halima anapewa U KUB.Nusrat Hanje alitolewa ilia aje kua mbunge?
Service, vipi? Umeshaamka? Hujalala ndugu, hiyo sio ndoto, ni kweli. Pole sana, Kwani wewe uliamini wale ni wa ukweli? Yaani hukujua kabisaa walivyo? Hilo liwe funzo, tafakari mwenendo kabla hujaamini. Kunywa paracetamol utakuwa vizuriEndelea kuota ndoto za mchana Kama hizoooo