Colgate
Member
- Dec 30, 2010
- 16
- 1
Kuna rafiki yangu mmoja mwanamume, anakisa kimoja.
"kwa muda mrefu amekuwa akimuota anasema anamjia ndotoni mara kwa mara"
wakati mwingine halali kabisa, na uhusiano na mkewe umeanza kuyumba, ila anaogopa kumuambia.
anadai ndoto kuwa wakati mwingine anaota kuwa wanaishi pamoja huyo ex wake".
nimeshindwa kumshauri.
"kwa muda mrefu amekuwa akimuota anasema anamjia ndotoni mara kwa mara"
wakati mwingine halali kabisa, na uhusiano na mkewe umeanza kuyumba, ila anaogopa kumuambia.
anadai ndoto kuwa wakati mwingine anaota kuwa wanaishi pamoja huyo ex wake".
nimeshindwa kumshauri.