hangakwee
Member
- May 2, 2016
- 96
- 54
Ndugu zangu nimatumaini yangu wote niwazima, nina Toyota Allion ambayo in a ratio lakutetemeka pindi ukiwasha a/c.
Nilijaribu kupeleka kwa mafundi wakaniambia nibadilishe compressor na condensor nilifanya hivyo ila hakukuwa na mabadiliko yoyote.
Naomba kama kuna fundi au mtu yeyote mwenye ushauri anisaidie maana nateswa nalo sanaaa
Nilijaribu kupeleka kwa mafundi wakaniambia nibadilishe compressor na condensor nilifanya hivyo ila hakukuwa na mabadiliko yoyote.
Naomba kama kuna fundi au mtu yeyote mwenye ushauri anisaidie maana nateswa nalo sanaaa