Ushauri: CHADEMA, Mrudisheni Dkt. Slaa chamani kuongeza morali ya ushindi

Nimekusoma vizuri sana. Ndio maana nashangaa kwa nini unapoteza muda kuishauri CHADEMA? Una fungamano gani huko?

Jus’ move on; and keep moving - with the party, CCM.
CCM inajifia, mrithi mwenye kuaminika ni CDM, sasa hata ushauri mzuri kwann usipokelewe?

Pia, usinivunjie Heshima kunihusisha na chama kilichoiba uchaguzi wote 2020.
 
Salaam, Shalom!!

Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.

ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.

1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.

Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.

2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.

Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.

3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.

Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.

4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.

Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.

Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.

5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.

Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.


ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.

Ni hayo Kwa sasa.

Karibuni. 🙏
Dr Slaa hajawahi kuvuliwa uanachama wa CHADEMA. Bado ni mwanaCHADEMA damdam na anafanya kazi za ukomboxi na utetezi wa rasilimali za umma kama kawaida.
 
Dr Slaa hajawahi kuvuliwa uanachama wa CHADEMA. Bado ni mwanaCHADEMA damdam na anafanya kazi za ukomboxi na utetezi wa rasilimali za umma kama kawaida.
Ndo arudishwe nafasi ya u- KM Ili kuongeza nguvu ya kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi 2025.

Chama kirudi katika taswira yake ya awali ya uanaharakati na utetezi wa wasio na sauti.

Timu ya ushindi ikamilike.
 
Nimekusoma vizuri sana. Ndio maana nashangaa kwa nini unapoteza muda kuishauri CHADEMA? Una fungamano gani huko?

Jus’ move on; and keep moving - with the party, CCM.
Kweli kabisa. Aishauri CCM na CHADEMA pamwe? No. Atulie sehemu moja akae atulize tako tuli. Asitangetange kama kuku anayetaka kutaga.
 
Kweli kabisa. Aishauri CCM na CHADEMA pamwe? No. Atulie sehemu moja akae atulize tako tuli. Asitangetange kama kuku anayetaka kutaga.
Sasa ningekuwa CCM, Si ningewashauri wamchukue baada ya kujiuzilu Chongolo?

CHADEMA inapigiwa kura na wanachama na wasio wanachama.

Hivyo wananchi tuna HAKI ya Kutoa ushauri.
 
Ndo arudishwe nafasi ya u- KM Ili kuongeza nguvu ya kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi 2025.

Chama kirudi katika taswira yake ya awali ya uanaharakati na utetezi wa wasio na sauti.

Timu ya ushindi ikamilike.
Unavyofahamu wewe, kwani sasa hivi Dr Slaa anatetea nini?
 
Sasa ningekuwa CCM, Si ningewashauri wamchukue baada ya kujiuzilu Chongolo?

CHADEMA inapigiwa kura na wanachama na wasio wanachama.

Hivyo wananchi tuna HAKI ya Kutoa ushauri.
Jikite upande mmoja....usiwe kama popo au kuku anayetafuta mahali pa kutagia.
 
Mbinu zote za kisiasa za kudai Katiba zimefeli!

Mbowe kanyamaza coz mkataba upon mezani namna ya kugawana keki!

Turufu pekee iliyobaki ni the state yaani dola kama Dola kuzuia uchaguzi bila iatiba mpya!

Yaani Dola ianze KAZI ya kupukutisha wasaka urais hadi wakiogope kiti Cha urais!!

Hadi chama chetu kianze kuuliza mnataka nini!!?

Tusubiri tuone kilichoamuliwa na dola kama wameamua Katiba iliyopo iendelee na ccm mbele Kwa mbele Bas!

Hakuna namna!!
 
Mbinu zote za kisiasa za kudai Katiba zimefeli!

Mbowe kanyamaza coz mkataba upon mezani namna ya kugawana keki!

Turufu pekee iliyobaki ni the state yaani dola kama Dola kuzuia uchaguzi bila iatiba mpya!

Yaani Dola ianze KAZI ya kupukutisha wasaka urais hadi wakiogope kiti Cha urais!!

Hadi chama chetu kianze kuuliza mnataka nini!!?

Tusubiri tuone kilichoamuliwa na dola kama wameamua Katiba iliyopo iendelee na ccm mbele Kwa mbele Bas!

Hakuna namna!!
Kama unakumbuka nilikwambia Kuna njia mbili,

1. Ya Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi, ngumu lakini ya kheri isiyo ya kukimbizana.

2. Mkono wa CHUMA, yaani ni amri Moja Toka juu. Na ataletwa Dikteta. Watabadili mgombea na kumleta ambaye hatokaa atoke Hadi dira ya muda mrefu wa Taifa itimie. Hiyo Inaitwa KG style.
Anyway twende tu.
 
Mbinu zote za kisiasa za kudai Katiba zimefeli!

Mbowe kanyamaza coz mkataba upon mezani namna ya kugawana keki!

Turufu pekee iliyobaki ni the state yaani dola kama Dola kuzuia uchaguzi bila iatiba mpya!

Yaani Dola ianze KAZI ya kupukutisha wasaka urais hadi wakiogope kiti Cha urais!!

Hadi chama chetu kianze kuuliza mnataka nini!!?

Tusubiri tuone kilichoamuliwa na dola kama wameamua Katiba iliyopo iendelee na ccm mbele Kwa mbele Bas!

Hakuna namna!!
Aliyepo angekubali mpango wa KATIBA mpya,

Angeweza kupata kugombea na angeweza kushinda angetawala zaidi ya miaka 10 sababu ya Katiba mpya.
 
Salaam, Shalom!!

Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.

ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.

1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.

Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.

2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.

Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.

3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.

Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.

4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.

Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.

Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.

5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.

Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.


ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.

Ni hayo Kwa sasa.

Karibuni. 🙏
Anzisha chama umsajili Dr. Slaa na mumpe ukatibu mkuu
 
Naunga mkono hoja! CDM wasahau yaliyopita waanze upya! Kama walimpapatikia Lowasa hatimaye akawakimbia, wamrudishe tu Dr.Slaa!
 
Salaam, Shalom!!

Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.

ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.

1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.

Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.

2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.

Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.

3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.

Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.

4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.

Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.

Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.

5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.

Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.


ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.

Ni hayo Kwa sasa.

Karibuni.
Kwani alifukuzwa
 
Back
Top Bottom