Sina uhakika hata kama unafahamu ulichokiquote. Labda nikukumbushe. Nilianza kwa kusema hivi "Sidhani wewe kama ni CHADEMA". Hisia zangu zilikuwa zinaelezea "dhana" yangu
Anayetakiwa kuja kukinzana na dhana yangu, ni muhusika mwenyewe. Ulichokifanya wewe, ni kama vile umeichukua dhana yangu, na kuifanya iwe ni halisia, kisha unaanza kuipinga 🤷🤷
Ndomana nimependekeza ujio wa Dr Slaa, chama kirudi katika siasa za kiuanaharakati.CCM haitaweza kuangushwa kwa maneno bila kuchapana na kuuana na hatimaye kupata katiba mpya na tume huru.
CCM ipo na itaendelea kuwepo. Yaani hata rais Samia akipigiwa kura na mwanaye Abdul tu, bado atatangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais.
Nimeedit, ni Ilani ya 2025-2030 thanks 🙏.Acha payuka.
Unaposema Sera ya 2020 2025 Sasa hivi tuko 2024huoni kuwa ni upotoshaji.
Kwani Dr. Slaa alifukuzwa CDM au aliondoka kwa ridhaa yake na huko CCM si mwendazake alidhani anaiua CDM kwa kumteua. Na kama.ndivyo kwa nini Rais SSH hakuendelea naye! Si alikuwa naye Enzi za JPM mbona hakusema hamtaki.
1 & 2. Wanasema mtu mwenye utimamu wa akili hawezi kata tawi alilokalia. Kauli aliyoitoa kwenye angalizo lake ndio imenipa Mimi dhana niliyonayo juu yake. Na hata hivyo, sikusema kwamba hisia zangu ni sahihi, ndio maana nilitumia neno "dhana"1. Hapana ndugu. Taabu yangu na wengi ni kuweka hisia zao kuwa ni uthibitisho.
2. Humo wakiendeleza ramli chonganishi zisizokuwa na mashiko.
3. Kulikoni kutodhani hichi unachowahisi wengine pasipokuwa ushahidi, kinaweza elekezwa kwako hivyo hivyo?
Wameshindwa kivipi wakati wananchi wengi wako upande wao including makada wa CCM?Kama saccos Yao Ile na kina Mdude na wale wengine wenye njaa Wameshindwa kupata kiki kwenye dp World ndio itakuwa huko kwa walamba asali?
Nimekishauri chama kimrudishe.Mkuu mrudishe ww maana hakufukuzwa cdm.
1 & 2. Wanasema mtu mwenye utimamu wa akili hawezi kata tawi alilokalia. Kauli aliyoitoa kwenye angalizo lake ndio imenipa Mimi dhana niliyonayo juu yake. Na hata hivyo, sikusema kwamba hisia zangu ni sahihi, ndio maana nilitumia neno "dhana"
3. Ushahidi ulioibua dhana yangu, ni wa kifact zaidi, na nimeelezea hapo juu. Na pia endapo akitokea mtu akaelekeza kwangu, awe na kilichomsukuma kusema atakachosema.
Kutuaminisha umma kuwa Serikali ya Rais Samia ni wasikivu, kwamba wanaweza kuaminika na kubadilika na kutenda HAKI ,Kipimo chako juu ya ili ni kipi?
Dr Slaa hakurudi CCM,Msimamo Gani unao uzungumzia wewe wakati aliunga juhudi kipindi Cha jiwe
Uzuri hakufukuzwa na mtu anaona aibu kurudi
Wenye CCM wamerudi rasmi Sasa hawamtaki na CDM hawamtaki mwanasiasa mwenye tabia za kimalaya malaya
Akili ya Dr Slaa Iko murua kabisa.Hata Dume la Mbuzi likizeeka zizini huwa tunalitoa bahna 😂 😂 😂 😂
Kuishauri CHADEMA kumrudisha Dr Slaa Ili kurudi katika siasa za kiuanaharakati ni Ujinga?Umekosa vyakuandika sasa umeanza kuandika ujinga.
Alikuwa anatoa mrejesho kwa wananchi juu ya walichokubaliana.Kutuaminisha umma kuwa Serikali ya Rais Samia ni wasikivu, kwamba wanaweza kuaminika na kubadilika na kutenda HAKI ,
Mkt anaweza KURUDIA maneno Yale saiz?
Sawa nakukubalia sija kataa ila huoni kwamba hatutakuwa tumetenda haki kwa wengine kunyanyuka na kikendeleza chama. nafikiri Afrika tuanze kunyanyuka kuacha kutegemea wale wale kila uchao.Akili ya Dr Slaa Iko murua kabisa.
Siasa Si kambi ya Jeshi kwamba inahitajika kubeba viroba vya mawe.