The next JPM
Member
- Feb 22, 2023
- 22
- 44
Habar wakuu,
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.
Mimi ni Kijana wa 23 nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania.
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja kiukweli nilimpenda sana, ilikuwa ngumu kwa yeye kunikubali lakini baadaye alikubali, tumekaa kwenye mahusiano kwa miezi sita tu lakini kwangu ilikuwa ni uchungu kwani nilitumia nguvu sana kulinda mahusiano yetu.
Yeye alikuwa kama hajali kuhusu mimi, ilipofika mwezi wa kumi na moja mwaka jana akasema tuachane na ananichukulia kama kaka yake.
Kiukweli nilliumia sana, nikambembeleza sana lakini hakutaka, na mimi sikuwa na kosa na sijui kwanini aliamua hivyo.
Wakuu shida yangu ni hii, toka aniache nahisi maumivu makali moyoni mwangu kila nikimkumbuka.
Kila siku huwa namuomba turudi kama zamani lakini hataki kabisa. Mimi sijawahi kupenda before, ukweli sina nafasi kwake lakini moyo wangu unasema bado nina nafasi kwake.
Nahisi sitopendatena, pia najihisi kuwa sitapata kama yeye, japokuwa sikuwahi kufanya nae mapenzi maana mimi nimeokoka.
Naombeni ushauri, najihisi nipo isolated, najihisi maumivu mabaya sana.