Mtafiti1
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 263
- 148
JF ina members na members,
kuna wengine wanajiona ni vinara, hawataki kuona wenzao wakiibukia.
Kuna members wako kushambulia tu na kuharibu mada za wengine
kuna members wanaojifanya " much-know" ....hawa daima hujifanya viranja na hawataki kuona wenzao wakifurahia majadiliano.
Kuna mmoja huyo ndio katia fora...... nadhani anajijua.JIREKEBISHE BI DADA! UNABOA SANA.KWA TAARIFA USHAKUWA GUMZO ILA WATU WANAKUSTAHI.
you suck!
kuna wengine wanajiona ni vinara, hawataki kuona wenzao wakiibukia.
Kuna members wako kushambulia tu na kuharibu mada za wengine
kuna members wanaojifanya " much-know" ....hawa daima hujifanya viranja na hawataki kuona wenzao wakifurahia majadiliano.
Kuna mmoja huyo ndio katia fora...... nadhani anajijua.JIREKEBISHE BI DADA! UNABOA SANA.KWA TAARIFA USHAKUWA GUMZO ILA WATU WANAKUSTAHI.
you suck!