Ushamba: Simu za Gharama

Sijanunua Tz mkuu. Nimetoka nayo nje ila Dar nimeziona Nokia Care uliza inaitwa Nokia Lumia 800
japo kwa sasa kuna Lumia 900 imetoka March ila sijui kawa Dar ipo.

Hii simu Nokia Lumia 800 imeshuka sana bei......M1 Tshs unaipata, ila ukweli ipo juu!! Kuna kifaa kingine Nokia N9 ni matata isee.... ila programs ni almost the same na hii Lumia 800
 
kabisa mkuu, mtu ni mwembambaaaaaa anunua kitanda cha 5kwa 6 au 6kwa6, kwa nini asinunue na kulalia kitanda cha 2na nusu kwa 6 kama vile vya boarding schools alichokuwa analalia enzi hizo na kinamtosha?

Kwa sababu akioa au kuolewa hakitatosha!
 
Hhahahaaa mkuu rudi.....


Tukianza kufatilia mambo ya anasa ni mengi sana,
Kwa mfano. Mtu unaish kwenye nyumba kuuubwa peke yeko,
ni kwa nini usijenge chumba kimoja chakukutosha?
Mtu m1 unamiliki nguo nyiingi kwa nini usiwe na nguo 6 tu?suruali 3 shati 3 kwisha,
Mtu m1 anamiliki kochi set nzima,
kwa nini usichonge stuli moja tu ya kukalia wewe mwenyewe?
Tehe tehe tehe tehe ntarudi baadae.
 
Hii simu Nokia Lumia 800 imeshuka sana bei......M1 Tshs unaipata, ila ukweli ipo juu!! Kuna kifaa kingine Nokia N9 ni matata isee.... ila programs ni almost the same na hii Lumia 800
Nokia n9 naipata ila ni Symbian tatizo but ni nzuri sana.

Napenda sana windows phone kama hii Lumia 800 but now nataman lumia 900 ya GB 64 coz hii ina 16GB tu.

Thanks for the update.
 
Mi nafikiri lengo la kuwa na simu ni kuwa na uwezo wa kutuma ujumbe mfupi, uwezo wa kuwasiliana na mtu wa pili kwa haraka kwa ajili ya maongezi, labda tuweke na matumizi ya Internet ambapo unaweza kuhabarisha watu na kupata taarifa mbalimbali kama za hapa JF. Lakini mi point yangu ni kwaba kweli kuna ulazima wa kuwa na simu ya bei mbaya sana kuanzia laki 3 na kuendelea wakati unaweza kupata simu yenye hizo huduma zote kwa elfu 50 mpaka laki??, huu sio ushamba kweli!!, kinachofurahisha zaidi hao wanaotengeneza hizo simu wenyewe hata hawazitumii hizo za bei mbaya!!!,
Utakuuta mtu una simu ya milioni moja halafu anasema maisha magumu!!.

Du jamani kuna watu wa ajabu, du malengo ya simu ni zaidi ya hayo uliyoainisha, simu ya milioni uifananishe na ya shilingi elfu hamsini, kuna tofauti kubwa sana kwanza display, comfotability katika kuitumia, function and options, simu ya elfu hamsini huwezi fanyia presentation, suala la maisha magumu haliletwi na simu kuna wangapi hawana simu za bei na maisha ni magumu vile vile, unanikumbusha enzi za ugumu ukishindwa kupata vitu vizuri unajiita ni mgumu, hivi mtoa mada unaelewa maana ya ushamba? Mshamba ni mtu ambaye haendi na wakati kama wewe.
 
Simu hiyo haina jina??? Wacha UHAYA
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
 
Hii simu Nokia Lumia 800 imeshuka sana bei......M1 Tshs unaipata, ila ukweli ipo juu!! Kuna kifaa kingine Nokia N9 ni matata isee.... ila programs ni almost the same na hii Lumia 800

Ona ushamba huo!!!.
 
Basically matumizi ya simu ni hayo uloyataja ila yapo mengine mengi kama GPS,COMPASS,ENTERTAINMENT na services nyingine kibao kutegemea na aina ya simu na Apps zilizomo.Hata hivyo nakubaliana nawe ni ulimbukeni kununua simu expensive wakati wewe bado ni hohehahe,mlo wa mchana unapata kwa shemeji,hata chumba hauwezi kupanga bado unalala sebuleni kwa kaka yako,hata naiuli ya daladala wapewa na mjomba...ila siku ukiotea milioni eti yote unanunulia simu baadae unanitafta mimi nikutoe hela ya kununua jeans..weweeeee...:mad: Wale mliojiimarisha kiuchumi sina shida na ninyi,nunua hata ya bilioni,ila sasa na wewe kumbuka ndugu zako wanavyotaabika kijijini kidogo kabla ya kufanya hivyo!!!!!!


Kweli kabisa, ila tuchukulie mfano wa hapa Bongo. Blackberry, iPhone, na other smart phones zina umuhimu gani wakati there's no GPS technology in here, na internet yenyewe tunaibiwa ama kupunjwa na phone companies, si ujinga huu? Sawa mtu una fursa ya kupenda ukipendacho lakini many times naona sie Watz ni mbumbumbu kweli. Utakuta mtu anaendesha gari hana gas/petroli analalamikia washikaji baa kuwa hana hela, mtu huyo huyo anaona fahari kutoa simu ya Blackberry na kuiweka mezani ili washikaji wamuone ana Blackberry...jamani ni ulimbukeni ama?
 
ukitaka kufanya kitu basi kifanye kwa ubora zaidi,usije ukasema ghorofa ni ushamba we endelea tu kukaa tandale kununua cm ya gharama co ushamba hapa na_make nije kununua iphone4.
 
labda mkuu nkuulize kama hutajali
unaishi nyumba ya kupanga au umejenga?
hizo content za simu unazitumia zote kwa bongo?
mitandao yetu ina infrastructure inayoruhusu application ya hizo content?
Nina laptop na modem lakini simu yangu inanifanya nisione umuhimu wa hivyo.
Kwenye hii simu nina Microsoft office 2010
Opera Mobile 10
Internet exploler
Radio
Currency converter ya kila fedha internet based SPB SHELL
facebook application
Twitter application
Myspace ''
Operating system yake ni Microsoft Windows Phone 7.5
Adobe reader
Bei yake kwa Dar 1.6 M
japo kwa sasa inaweza patikana hata kwa milion 1.3
na ina mambo mengi sana na kii kipana sana kama palm top.

MIMI BORA UNINYIME KOMPUTER ILA SIMU IWEPO TENA SIMU NZURI SANA HATA IWE YA 3M NITANUNUA.

mtoa mada huna hoby na simu au hujui pocket technology.
Hapa nadhan hoja si ushamba bali interest.
 
labda mkuu nkuulize kama hutajali
unaishi nyumba ya kupanga au umejenga?
hizo content za simu unazitumia zote kwa bongo?
mitandao yetu ina infrastructure inayoruhusu application ya hizo content?

Ni baadhi ya service kama my nokia Bongo haipo bado.

Ms office ipo
whatsapp ipo
Gps nav ipo
camera inanisaidia sana kwa kupiga na ku upload hapohapo hivyo ni zaidi ya digital camera.
Youtube, twitter, myspace, linkedIn, zote zipo.
Zune haipo insteady natumia marketplace.
Nimbuzz, skype, AIM. INSTANT MESSAGING
Email napokea na kujiku kama sms vile.

Bible, dictionary, currency exchange, calculator, barcode reader n.k zote napata.
Airtel iko poa sana kwa huduma hizo zote.

Kumbuka kuna milions of mobile apps hata ukiwa NYC utatumia chache zinazogusa lifestyle yako. Ukitaka uwe nazo zote utakuwa crazy.
Mie spend gaming ndo maana sijataja hapo juu japo simu yangu ina support 3D games.
Kuna apps za usalama sijataja kwa kuwa siko huko. Simu ni zaidi ya uijuavyo.

KUMBUKA NIMESEMA NI INTEREST YANGU KUWA NA SIMU NZURI HATA IWEJE SIWEZ KUTUMIA SIMU ITAKAYONINYIMA HUDUMA HIZI.

NIMECHOKA NAPUMZISHA VIDOLE...
 
ukitaka kufanya kitu basi kifanye kwa ubora zaidi,usije ukasema ghorofa ni ushamba we endelea tu kukaa tandale kununua cm ya gharama co ushamba hapa na_make nije kununua iphone4.
iphone 4s au 5 ndo mpango mzima mkuu.

but the best ni Windows Phone supported Os e.g Nokia Lumia lumia, Dell, Samsung au HTC.

iOs na Android, symbian au bada na BB sio ishu kivile.

Jipange KK III
 
Jamani tuvumiliane ktk hili.Kama wewe huwezi kumudu simu fulani ni wewe tu,wacha wenye uwezo wawe nazo.Binadamu tunatofautiana ktk madaraja ya matumizi,na hiyo ndo inaleta maanaya maisha.
 
Ni baadhi ya service kama my nokia Bongo haipo bado.

Ms office ipo
whatsapp ipo
Gps nav ipo
camera inanisaidia sana kwa kupiga na ku upload hapohapo hivyo ni zaidi ya digital camera.
Youtube, twitter, myspace, linkedIn, zote zipo.
Zune haipo insteady natumia marketplace.
Nimbuzz, skype, AIM. INSTANT MESSAGING
Email napokea na kujiku kama sms vile.

Bible, dictionary, currency exchange, calculator, barcode reader n.k zote napata.
Airtel iko poa sana kwa huduma hizo zote.

Kumbuka kuna milions of mobile apps hata ukiwa NYC utatumia chache zinazogusa lifestyle yako. Ukitaka uwe nazo zote utakuwa crazy.
Mie spend gaming ndo maana sijataja hapo juu japo simu yangu ina support 3D games.
Kuna apps za usalama sijataja kwa kuwa siko huko. Simu ni zaidi ya uijuavyo.

KUMBUKA NIMESEMA NI INTEREST YANGU KUWA NA SIMU NZURI HATA IWEJE SIWEZ KUTUMIA SIMU ITAKAYONINYIMA HUDUMA HIZI.

NIMECHOKA NAPUMZISHA VIDOLE...

Mkuu Paxman yako ni Evo 3D or Optimus 3D?

iphone 4s au 5 ndo mpango mzima mkuu.

but the best ni Windows Phone supported Os e.g Nokia Lumia lumia, Dell, Samsung au HTC.

iOs na Android, symbian au bada na BB sio ishu kivile.

Jipange KK III

Mkuu nilikuwa na Windows mobile na now natumia Android device., U can't be serious saying that Windows mobiles are better.,
For now in this world that we are living, the best rival OS ni Android and IOS and for how things going, Android will take over soon., mark my words
 
sikubaliani na wewe hata kidogo...kila mtu na akipendacho....mfano mimi napenda technology, kwa hiyo napenda kuwa na kitu kinacho nipa raha...mfano , kwa simu niliyonayo, naweza kuchat Whatsapp hata na mtu aliye marekani, au England, coz nina marafiki huko....naweza kuongea nao kwa kutumia Skype kwa kutumia simu hiyo hiyo...naweza kuwatumia picha ndani ya sekunde 10, hata wakiwa Marekani au india.....naweza kujua direction ya sehemu ninayokwenda kwa kutumia GPS (thanks to google map), na kuna matumizi mengine mengi tu....kwa hiyo sidhani kama kuwa na simu ya gharama ni ushamba kama kweli una fedha ya kununua simu, na pia unajua matumizi yake, kama mimi
 
images


Unaona kitu hicho!!.
duh , kama meza ya pul table, kinakwendaje hiki?
 
Jamani tuvumiliane ktk hili.Kama wewe huwezi kumudu simu fulani ni wewe tu,wacha wenye uwezo wawe nazo.Binadamu tunatofautiana ktk madaraja ya matumizi,na hiyo ndo inaleta maanaya maisha.
soma uchokozi wa mada kwa makini
 
Yatosha kuishi kama uwezavyo si kama utakavyo kwani waengi wamejaribu na kushindwa
 
Back
Top Bottom