Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Sijanunua Tz mkuu. Nimetoka nayo nje ila Dar nimeziona Nokia Care uliza inaitwa Nokia Lumia 800
japo kwa sasa kuna Lumia 900 imetoka March ila sijui kawa Dar ipo.
Hii simu Nokia Lumia 800 imeshuka sana bei......M1 Tshs unaipata, ila ukweli ipo juu!! Kuna kifaa kingine Nokia N9 ni matata isee.... ila programs ni almost the same na hii Lumia 800